DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
kukosea kitu kisichokuwa cha kwako hakuna shida.angekosea kuandika kiswahili au kimakonde hapo tungemkosoa. alafu hao wenye lugha yao wazungu tukikosea wala hawatushangai wala kutucheka shida ni sisi wazungu wa tandale na buza kwa lulenge