Ushauri: Idea 5 za biashara

Ushauri: Idea 5 za biashara

Hakuna biashara isiyo lipa indapo uta tazamia maitaji ya eneo usika.. Na katika biashara ili ifanikiwe wewe Kama muhusika mkuu unatakiwa uwe Kama msimamizi tu, sio Kama ndio mwenye duka. Duka litakua ni la wahitaji

Kumbuka ili biashara ifanikiwe Kuna mambo mawili

1 uache mazingira na jamii ikuchagulie aina ya biashara ya kufanya. Ukicheza vizuri katika hili amini nakuambia wafanya biashara karibu wote wata lalamia biashara ngumu huku wewe una tabasam

2 Uwe na wazo lako au aina ya biashara unayo taka. Na uhakikishe unapata eneo ambalo ni rafiki na aina ya biashara utakayo iweka.
Sasa hapa uwa kuna ugum kidogo. Ukikose kidogo tu utakua msindikizaji katika nyanja za kibiashara. Utafanya biashara miaka mingi ukifukzia pesa ya kula na pango..

Mimi nitakushauri aina ya biashara endapo umesha pata frem na ukanitajia mazingira husika ya eneo Hilo
AU
Uchague aina ya biashara na nikushauri mazingira rafiki ambayo yana mchango mkubwa katika kukua kibiashara
 
Hakuna biashara isiyo lipa indapo uta tazamia maitaji ya eneo usika.. Na katika biashara ili ifanikiwe wewe Kama muhusika mkuu unatakiwa uwe Kama msimamizi tu, sio Kama ndio mwenye duka. Duka litakua ni la wahitaji

Kumbuka ili biashara ifanikiwe Kuna mambo mawili

1 uache mazingira na jamii ikuchagulie aina ya biashara ya kufanya. Ukicheza vizuri katika hili amini nakuambia wafanya biashara karibu wote wata lalamia biashara ngumu huku wewe una tabasam

2 Uwe na wazo lako au aina ya biashara unayo taka. Na uhakikishe unapata eneo ambalo ni rafiki na aina ya biashara utakayo iweka.
Sasa hapa uwa kuna ugum kidogo. Ukikose kidogo tu utakua msindikizaji katika nyanja za kibiashara. Utafanya biashara miaka mingi ukifukzia pesa ya kula na pango..

Mimi nitakushauri aina ya biashara endapo umesha pata frem na ukanitajia mazingira husika ya eneo Hilo
AU
Uchague aina ya biashara na nikushauri mazingira rafiki ambayo yana mchango mkubwa katika kukua kibiashara
Ahsante mkuu, nitakuambia ili unipatie maujanja zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 3 ni nzur sema unahitaji location nzur, yaani population kubwa. Kama tegeta kwa ndevu, bunju shuleni etc
Habari wana Ndugu,

Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya uwezo wangu.

Nina Tsh 14 million (hapo nishatoa gharama za kodi ya frem, urekebishaji wa frem, usafiri wa mzigo, Tax clearance, akiba ya kuishi siku kazaa, n.k), Location ni jijini Mwanza urban.

Kwa kutumia uzoefu wenu na uchambuzi wa biashara mgenishauri niinvest katika idea ipi kati ya hizo hapo chini. Biashara itakayo nipa return ya uhakika wa kuendesha life yangu.

IDEAS ZILIZOPATA:
1: Aina zote za Vipodozi na Urembo tofauti tofauti (wigs, weavings, saa za mkononi, etc)

2: Duka maalum linalo deal na aina zote za Vitasa, Komeo na Bawaba tu za milango.

3: Vifaa vya umeme (installation, wiring)

4: Appliances za umeme za majumbani nianze na items kama TV, Radio, Pasi, Blenders, jagi la umeme...

5: Maduka mawili katika location tofauti yanayo deal na uwakala wa pesa mitandao ya simu (V'COM, A'TEL, TIGO...) na banks za CRDB, NMB.

6: Pazia za kisasa, sheers, mazulia ya sakafu, mazulia ya mlangoni (door rugs), bomba za pazia na fittings zake, mashuka special (set), nets, blankets

Pia kama unayo idea nyingine inayoendana na huo mtaji wangu, nitashukuru ukinisaidia hiyo idea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana Ndugu,

Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya uwezo wangu.

Nina Tsh 14 million (hapo nishatoa gharama za kodi ya frem, urekebishaji wa frem, usafiri wa mzigo, Tax clearance, akiba ya kuishi siku kazaa, n.k), Location ni jijini Mwanza urban.

Kwa kutumia uzoefu wenu na uchambuzi wa biashara mgenishauri niinvest katika idea ipi kati ya hizo hapo chini. Biashara itakayo nipa return ya uhakika wa kuendesha life yangu.

IDEAS ZILIZOPATA:
1: Aina zote za Vipodozi na Urembo tofauti tofauti (wigs, weavings, saa za mkononi, etc)

2: Duka maalum linalo deal na aina zote za Vitasa, Komeo na Bawaba tu za milango.

3: Vifaa vya umeme (installation, wiring)

4: Appliances za umeme za majumbani nianze na items kama TV, Radio, Pasi, Blenders, jagi la umeme...

5: Maduka mawili katika location tofauti yanayo deal na uwakala wa pesa mitandao ya simu (V'COM, A'TEL, TIGO...) na banks za CRDB, NMB.

6: Pazia za kisasa, sheers, mazulia ya sakafu, mazulia ya mlangoni (door rugs), bomba za pazia na fittings zake, mashuka special (set), nets, blankets

Pia kama unayo idea nyingine inayoendana na huo mtaji wangu, nitashukuru ukinisaidia hiyo idea.
No 1 na 5 weka pamoja angalia sehemu yenye mzunguko
 
Saivi kutokana na janga hili la corona biashara ambayo itakuendea vizuri walao ni vyakula, hivyo mimi ngekushauri juu ya ununuzi wa mazao kama ufuta na mpunga!

Yani kwa mtaji wako ukicheza nao kipindi hiki cha mavuno mpaka kufikia mwezi wa nane utakuwa mbali sana na unaweza kufikisha hata mara 3 ya mtaji wako na baada ya hapo ukawa na uwanja mpana zaidi wa kuamua cha kuanza nacho kwenye hivyo vitu ulivovichagua.

Pia muda huo nna hakika shughuli nyingi zitakuwa zinaendelea kama kawaida ukilinganisha na sasa janga hili limedorosha mzunguko wa kawaida wa kifedha.
 
Fanya biashara ambayo upo confortable nayo hata usipokua na hela unaweza amka asubuhi kwenda ...pili weka nusu ya hiyo hela kwe biashara nyengine peleka bank zungusha account chukua account kwa kiwango kile kile ulicoweka fixed account itakupa nidhamu ya kuiheshimu biashara na hata mbeleni kuzidi ikuza biashara yako
 
Back
Top Bottom