greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Hana talent tu lakini ki malkia yuko vizuriJamaa nikweli hawezi kuchekesha. Anafosi tu. Alipoenda Kenya alikaa jukwaani mpaka anashula watu wamenuna, imagine uingie alipotoka Erick Omundi au Man Kush na kiingereza chako cha kayumba. Hata wabongo wenzake hatuchekeshi itakua wakenya! Kiukweli haui na watu wake wa karibu hawamwambii ukweli.
Hahaha hii nayo sio habariSio habari hii mkuu.
Ushauri mzuri kwako,
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..
Sio habar kwa kweliSio habari
ANAGANGA NJAA.MIL 500 KAIMALIZIA CHOONI,HANA JINSI NAYE AONEWE HURUMU TU KAMA DR SHIKA
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..
Wewe unapinga kila kituLabda hauna bandana....