Ushauri: Idris Sultan biashara itakutoa achana na uchekeshaji

Ushauri: Idris Sultan biashara itakutoa achana na uchekeshaji

Idris anapoteza muda wa Clouds TV kufanya biashara nyingine, kipindi hakina mvuto na hakichekeshi kabisa. Nadhani kuna jambo analoweza kufanya lkn si uchekeshaji.
 
Jamaa nikweli hawezi kuchekesha. Anafosi tu. Alipoenda Kenya alikaa jukwaani mpaka anashula watu wamenuna, imagine uingie alipotoka Erick Omundi au Man Kush na kiingereza chako cha kayumba. Hata wabongo wenzake hatuchekeshi itakua wakenya! Kiukweli haui na watu wake wa karibu hawamwambii ukweli.
Hana talent tu lakini ki malkia yuko vizuri
 
Alafu sisi ndio wachekaji, msitulazimishe tuseme tumecheka wakati hatujacheka, aelewe hivyo na kama anaona hawezi kuacha hiyo kitu basis apambane na hali take yeye ili apate ubunifu na style take yeye. Nikweli anayo haiba kubwa mbele ya hadhila lakini bado hajapata cha kufanya jukwaani.
 
ccb03c7c446e51475b30efc750783c25.jpg

Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..
Ushauri mzuri kwako,

Usipende watu waishi unavyotaka wewe, wafanya shughuli unazotaka wewe. Humjui, humlishi na wala humvishi. Pigania maisha yako yake mwachie ndiyo kaamua vile, alishawahi kukwambia kuchekesha hapati faida yeyote hadi useme hayo.
Alikwambia analala njaa kisa kuchekesha?
Alikuomba ushauri?


PAMBANA NA HALI YAKO KABLA HUJAPARAMIA YA MWINGINE
 
Kwakweli hachekeshi ata kidogo.. Et sio habari
 
ccb03c7c446e51475b30efc750783c25.jpg

Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..
ANAGANGA NJAA.MIL 500 KAIMALIZIA CHOONI,HANA JINSI NAYE AONEWE HURUMU TU KAMA DR SHIKA
 
Huyo jamaa hovyo kabisa kutoka kuwa mshindi wa milioni 500 mpaka kwenda kuwa mtangazi wa Choice FM chini Clouds Media kwa mshahara wa Kati ya Laki 7 mpaka 9 kwa mwezi, itamchukua miaka 100 kupata alichokichezea.
 
Ni kweli kabisa hana uchekeshaji wowote, hiyo sio talent yake. Ni vizuri akaelewa hivyo na ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom