Uchaguzi 2020 Ushauri: Ili kuepuka hujuma Fomu zote za wagombea ubunge na udiwani wa CHADEMA zipitie ofisi za kanda kuhakikiwa

Uchaguzi 2020 Ushauri: Ili kuepuka hujuma Fomu zote za wagombea ubunge na udiwani wa CHADEMA zipitie ofisi za kanda kuhakikiwa

Huu ni ushauri ninaoupeleka kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mh John Mnyika kwamba wagombea watakapozichukua fomu hizo kutoka kwenye ofisi za Tume ama kwa Wakurugenzi baada ya kuzijaza basi ni vema zikahakikiwa na ofisi kubwa kabisa za kanda ili kuondoa uwezekano wowote wa kukataliwa na maofisa wa Tume ambao wengi ni makada wa ccm.

Baada ya kuhakikiwa zitolewe nakala za kumbukumbu na kuhifadhiwa ili kuondoa uwezekano wa maofisa wa Tume kuongeza uchafu wao , utaratibu huu una gharama na usumbufu kidogo lakini ni muhimu kufanyika ili kuhakikisha ule mpango wa Chadema kutwaa nchi na hatimaye kuwakata minyororo ya utumwa watanzania unatimia .

CCM haina uwezo wa kushinda uchaguzi kwenye sanduku la kura , mbinu pekee wanayoweza kuitumia ni kuhujumu wagombea wa Chadema kwa kuwapora fomu baada ya kuwateka ama kukataa kupokea fomu zao kwa njia ya kishamba ya wapokeaji kukimbia ofisi zao ama kutengeneza makosa kwa kusingizia chochote kile

Tukiweza kuwadhibiti katika mambo haya hawa watu ni wepesi kuliko pamba, hawaungwi mkono na wananchi, na hata hao migambo wamechoka kutumika kudhulumu haki za raia, tunaishi nao mitaani na tunajua wanachokisema.

Mungu ibariki CHADEMA
Now you're coming into your senses! Tume ya Uchaguzi uwaita viongozi na kuwapa semina ya namna ya kujaza hizi fomu na kuzihakiki kabla ya kuzirudisha. CCM hufanya hayo unayoyashauri kwenye chama chenu ndio maana mnahisi wanapendelewa. Tatizo kwenu umelisema; mnahisi ni gharama na kupoteza muda. Mnahisi mkipiga kelele za tumeonewa, tumeonewa zitabadili kanuni na taratibu. Lakini najua ya Serikali za Mitaa yaliwapa somo. Wasisitize sana wazingatie ulilowashauri!
 
Now you're coming into your senses! Tume ya Uchaguzi uwaita viongozi na kuwapa semina ya namna ya kujaza hizi fomu na kuzihakiki kabla ya kuzirudisha. CCM hufanya hayo unayoyashauri kwenye chama chenu ndio maana mnahisi wanapendelewa. Tatizo kwenu umelisema; mnahisi ni gharama na kupoteza muda. Mnahisi mkipiga kelele za tumeonewa, tumeonewa zitabadili kanuni na taratibu. Lakini najua ya Serikali za Mitaa yaliwapa somo. Wasisitize sana wazingatie ulilowashauri!
utekaji anaosimamia Majaliwa kule Lwangwa nao tume ilitoa semina yake ?
 
Hoja yako imekuja baada ya kukithiri mapingamizi yanayotokana na makosa yanayofanywa na wagombea wenu makosa ya wazi ambayo ni dhahiri kwamba jamaa hawawezi kujaza hizo fomu hivyo ili kuficha hiyo aibu ukaona Chama kiwasaidie kwakuwa hawajiwezi na mtaambulia aibu kwa Mara nyingine tena.

Hitimisho hapa ni kuwa wagombea wenu hawajiwezi hata kujaza fomu tu.
Hivi mapingamizi yanawekwa na nani,NEC au wagombea? Je Kama ni wagombea,Je huwa wanajuaje kwamba Kuna makosa kwenye form ya mgombea fulani?
 
Wazo zuri mtoa mada hii nawasii chadema muitumie hakika tunahitaji ukombozi kutoka kwenu chadema tumechoka kunyongwa maake tunataka kutoka unyongeni ni yeye 2020
 
Hivi mapingamizi yanawekwa na nani,NEC au wagombea? Je Kama ni wagombea,Je huwa wanajuaje kwamba Kuna makosa kwenye form ya mgombea fulani?g
Hivi mapingamizi yanawekwa na nani,NEC au wagombea? Je Kama ni wagombea,Je huwa wanajuaje kwamba Kuna makosa kwenye form ya mgombea fulani?
Chadema wanahamasishana kujitokeza jimbo zima wasaidiene kujaza na kurudisha fomu moja tu.

Chama cha ajabu sana hiki.
 
Chadema wanahamasishana kujitokeza jimbo zima wasaidiene kujaza na kurudisha fomu moja tu.

Chama cha ajabu sana hiki.
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mh John Mnyika kwamba wagombea watakapozichukua fomu hizo kutoka kwenye ofisi za Tume ama kwa Wakurugenzi baada ya kuzijaza basi ni vema zikahakikiwa na ofisi kubwa kabisa za kanda ili kuondoa uwezekano wowote wa kukataliwa na maofisa wa Tume ambao wengi ni makada wa ccm.

Baada ya kuhakikiwa zitolewe nakala za kumbukumbu na kuhifadhiwa ili kuondoa uwezekano wa maofisa wa Tume kuongeza uchafu wao , utaratibu huu una gharama na usumbufu kidogo lakini ni muhimu kufanyika ili kuhakikisha ule mpango wa Chadema kutwaa nchi na hatimaye kuwakata minyororo ya utumwa watanzania unatimia .

CCM haina uwezo wa kushinda uchaguzi kwenye sanduku la kura , mbinu pekee wanayoweza kuitumia ni kuhujumu wagombea wa Chadema kwa kuwapora fomu baada ya kuwateka ama kukataa kupokea fomu zao kwa njia ya kishamba ya wapokeaji kukimbia ofisi zao ama kutengeneza makosa kwa kusingizia chochote kile

Tukiweza kuwadhibiti katika mambo haya hawa watu ni wepesi kuliko pamba, hawaungwi mkono na wananchi, na hata hao migambo wamechoka kutumika kudhulumu haki za raia, tunaishi nao mitaani na tunajua wanachokisema.

Mungu ibariki CHADEMA
Very good idea ,nakala zitunzwe kuepuka Jechaism.
 
Back
Top Bottom