Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.