Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mzee ana CV na experience ya kutosha...Kibongobongo ni ngumu sana hii
Kafanya kazi muda mrefu kwa mabeberu hadi alipoletwa na Kikwete/Muhongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee ana CV na experience ya kutosha...Kibongobongo ni ngumu sana hii
Hivi hawa wasomi wanaoacha kazi nzuri kwa Mabeberu na kurudi nchi hii wanakuwa wamelogwa ?Mataragio siyo wa kispotispoti. Anayo CV kali. Na Iternational working experience na mshahara mkubwa. Hata TPDC sijui kama analipwa kama alivyokuwa analipwa nje ya nchi. Kurudi nyumbani kuja kuokoa jahazi la TPDC alirudi kwa heshima kwa kuwa aliombwa. Sasa sielewi mamlaka zinayumbaje? Sad
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.
View attachment 1744070
View attachment 1744072
Aombe kukutana na Rais atoe concern zake. Aombe ulinzi yasije ya Lwajabe, amueleze kuwa Kuna gang linatafuta maangamizi yake.Swala hapa si kukataa , jambo kubwa ni kujiokoa , hebu kumbukeni yaliyompata Lwajabe
Kama ilivyokuwa kwa Mwele MalecelaKwa CV yake anaweza kupata fedha kwingine
Wengi wao wanakuwa ni tiss, hivyo hawana option ya kukataa, maana hata huko walikokuwa huwezi jua ni kwa sababu wa mkono wa hao tiss.Hivi hawa wasomi wanaoacha kazi nzuri kwa Mabeberu na kurudi nchi hii wanakuwa wamelogwa ?
Tena pesa zenyewe hata ukiboronga kuna watu wako standby kuteteaHakuna mbongo mwenye guts za kukataa pesa. hayupo
wewe mwenyewe usingeacha
Hakuna haja ya kususia , maana hapo kuna uwezekano mama alichomekewa na watu wasiojulikana , then akastukaKibongobongo ni ngumu sana hii
Naunga mkono hoja. Mtu na taaluma yako huwezi kuyumbishwa kipuuzi hivi.Ushauri mzuri , Ila kama anaweza aombe kuonana na Raisi Kwanza wayajenge kuhusu stuation anayopitia ..... Raisi akimhakikishia basi aendelee la sivyo apige chini , ni fedheha
Kususa hakusaidii, huu ni mwanzo mpya, hata zile nafasi zetu 19 kule kwa Ngugai, tulegeze tu misimamo! Hatuwezi kubadilisha nchi kwa kujiweka kando na kususa, alafu waingie watu wasio faa wakishaharibu tulalamike!Inasikitisha sana , huyu jamaa ana familia yake lakini anadhalilishwa kizembe namna hii jamani !
Ally Maswanya, alipoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, alikataaHakuna mbongo mwenye guts za kukataa pesa. hayupo
wewe mwenyewe usingeacha
Bavicha bhanaHii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.
View attachment 1744070
View attachment 1744072
Magufuli hajawahi kumsimamisha kazi Mataragio. Na aliyekuwa akimchimba Dr. James Mataragio amekwisha fariki pia.Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.
View attachment 1744070
View attachment 1744072
Kuna watu powerful wanataka atoke..
Bahati nzuri wananchi tumempigia kelele
after ally wengine waliofuata?Ally Maswanya, alipoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, alikataa
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.
Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.
Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............
ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.
View attachment 1744070
View attachment 1744072
Magufuli hajawahi kumsimamisha kazi Mataragio. Na aliyekuwa akimchimba Dr. James Mataragio amekwisha fariki pia.
Ni Jamaa wa Swala Energy maugonvi yao ya licence za Gas Blocks. Alifurahia alipo ondolewa Dr. Muhongo lakini akapambana na Mkurya Mwingine ambaye hakutaka serikali ilaliwe kwa kumtaka alipe ongezeko la kodi baada ya kaiuza Shwala Energy.
Na bahati mbaya akafariki ghafla Uarabuni na kesi ikakosa mtu wa kuisukuma ndio kesi ikasimama. Mkulu alikalia kikaango cha moto, yule rafiki yake mkubwa wanatoa viti kwenye Bustani ya Ikulu wanaongea na kucheka na huyu mfanyakazi mzuri na hadimu.
Naona Bi Mkubwa walimwambia huyu bado ana kesi imemalizika kimazabe mazabe kumuuliza AG akamwambia serikali ilitoa Nole prossegue.
Mambo ya dunia huisha Mungu anavyotaka.
Kivipi ?Wewe ni miongoni mwao hao wanaomhujumu