Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

Braza @Mataragio usisuse wala nini. Cha muhimu kazi uiweze na uwe mwadilifu mengine tupia huko. Umsusie nani? Hii ni nchi yetu wote na pamoja tunaijenga
 
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu .

Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa .

Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !

EyMYDN8WgAEhKZz.jpeg


EyMYDN8XAAEFCFU.jpeg
 
Mama alichanganywa na Wahuni wa CCM, Mataragio aelewe hivyo
 
kisheria swali Matarajio ataapishwa tena? maana ni uteuzi mpya alitenguliwa akateuliwa tena upya

Pili Mwesigwa sio kingozi tena alikokuwa je Raisi atafanya uteuzi mpya wa alipokuwa Mwesigwa maana taarifa ya ikulu haijasema anarudi kule na kisheria kama anarudi maana yake ni uteuzi mpya je kesho ataapishwa naye baada ya kutumbuliwa TPDC?
 
Mleta mada Chadema naona sasa hivi toka Raisi Samia kaingia ghafla mumekuwa na mapenzi makubwa kwa CCM na wana CCM si muhamie tu CCM?
Hivi hii situation umeielewa lakini ?
 
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu .

Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa .

Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
We unasema hivyo wakati labda wameshaongea na raisi.Kesho anarudi ofisini kuendelea na majukumu yake kama kawaida
 
Kaka matarajio, nyakati nyingine tunalazimika kupitia katika dhiki nyingi. Endelea kumuomba Mwenyezi Mungu akupe hekima, utulivu na uvumilivu. Yote hayo yanayotokea, ni kama maandiko yanavyosema, maadui zako watakuja kukushambulia kwa njia moja, lkn nguvu ya Mungu itawasambaratisha watakimbia na kutawanyika katika njia saba.
Wewe endelea kubaki kimya huku ukichapa kazi. Huna haja ya kuhisi au kumchukia mtu awaye yote. Piga kazi kwa uaminifu na haki, maana hao watu wa shetani bado wataendelea kukutafuta.
 
Hivi hii situation umeielewa lakini ?
Karibuni CCM musaidiani na sisi wana CCM kushauri serikali na viongozi wa serikali wa CCM

Sasa hivi mna mapenzi makubwa na CCM na serikañi yake kiasi kuwa mumejaa vifuani shauri kibao za kushauri .Karibuni Sana CCM mchukue kadi
 
Kibongobongo ni ngumu sana hii
Asuse hela za bure? Privilege za ma CEO usipime. Ila ana gundi atakuja kuondoka Kwa aibu. Sio kwamba hafai Bali mtesi wake Yupo jikoni kabisa vinapopikwa na kupakuliwa hivyo kupindua ni ngumu.
 
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu .

Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa .

Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............

ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA

View attachment 1744070

View attachment 1744072

siasa za ufipa bana
 
Mataragio siyo wa kispotispoti. Anayo CV kali. Na Iternational working experience na mshahara mkubwa. Hata TPDC sijui kama analipwa kama alivyokuwa analipwa nje ya nchi. Kurudi nyumbani kuja kuokoa jahazi la TPDC alirudi kwa heshima kwa kuwa aliombwa. Sasa sielewi mamlaka zinayumbaje? Sad
 
Back
Top Bottom