Ushauri ipi kozi nzuri

Nyie maboyaa tuu, IT anaply nafas utumish hajaitwa interview, anapiga simu customer care kulalamika. IT gani ww
Unazidi kuuonesha ujinga wako na UPUMBAVU hadharani kijana... una umri gani na elimu gani kwanza tuanzie hapo?!

Naweza kuwa naongea na BodaBoda failure wa form four "D"
 
thanks mkuu kwa kumpa darasa nadhan amekuelewa
Akasome Marine Engineering pale DMI atakuja kunishukuru baada ya miaka mi4
nmekuelewa mkuu ngoja nifuatilie kuijua kiundan
 
thanks mkuu kwa kumpa darasa nadhan amekuelewa

nmekuelewa mkuu ngoja nifuatilie kuijua kiundan
Mavijana yaliyokataa shule hayo. Yakiona wenzao wamefanikiwa wanaanza fitna na taarabu na uganga kuroga wenzao. Wanafkiri I.T na CS ni kitu rahisi na cha mchezomchezo kama kunya na kukojoa 😂😂😂🙌🏾

Marine engineering ni pesa tupu na safari za kila leo nchi mbalimbali duniani! Nzuri sana! Adventure ya kutosha!
 
1. Software Engineering
2. Artificial intellegence engineering
3. Biochemical Engineering
4. water Engineering
5. Geotechnical engineering
6. Environmental Engineering,
7. CIVIL AND HIGHWAY ENGINEERING
8. Railway Systems Engineering and Integration ……… Hii ukiisoma SGR wana kuichukua Kesho asubuhi.
Utanikumbuka
 
We ni CHIZI bwana mdogo

Ndomana nilikwambia huna ujualo, unaonekana ni mvuta bange wewe na huyo uliyomuweka DP ndo mfalme na mungu wenu wavuta bangi wote na mateja duniani
nachojua mm humu JF ni sehemu au platform inayoweza kutusaidia na kuongeza ufahamu wetu juu ya mambo au maswala mbalimbali sasa kejeli na matusi ya nn achen hizo mambo kuwen smart tukosoane kwa hoja na sio malumbano🙏
 
Hapa ndo tunapofeli waafrika! Unasoma kwa kupewa ushauri na kuchaguliwa cha kukisoma.., kwani hukuwahi kuwa na ndoto na target kabla maishani mwako?!
Unafikir kila aliye kuwa na ndoto au target, ni lazima iwe hivyo kama alivyo panga..

Vitu Huwa vina change, kutokana na mazingira

Ni wachache wanao bahatika kuishi kwenye ndoto zao walizo jiwekea
 
nachojua mm humu JF ni sehemu au platform inayoweza kutusaidia na kuongeza ufahamu wetu juu ya mambo au maswala mbalimbali sasa kejeli na matusi ya nn achen hizo mambo kuwen smart tukosoane kwa hoja na sio malumbano🙏
Okay! Unamtetea sawa... nikuulize wewe maswali

"TUPEKUE TAARIFA ZAKE ZA NINI SISI?!"

(1.) SERIKALI INAMUHITAJI?! (AIDHA KWENYE AJIRA FULANI NYETI AU AJIUNGE MAALUM AU YEYE NI GAIDI?!)

(2.) YEYE NI MZANDIKI AU MUHALIFU WA MTANDAONI AU ANALETA UCHOCHEZI DHIDI YA AMANI YA NCHI?!

(3.) ANA KITU GANI SPECIAL AMBACHO KITATUFANYA TUPEKUE TAARIFA ZAKE?!

Jadiliana na huyo kijana kisha nijibuni maswali hayo... na namaliza kwa kusema

"Hacking an innocent person is not hacking is a crime!..., hacking is not a funny game, it's a special mission adhere to achieve a certain country's/persons useful info. for the special aim or an approve!"

Yoyote mwenye kujua hiyo fani atanielewa nini naongelea hata majasusi na TISS maguberi wanalijua hili. Usitete wajinga ndomana nikamuita BANGI huyo! Maana hajui kuunda hoja na kuitetea na haongei vitu vya maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…