Wapo IT wengi tu ni freelancers na wanapiga mpunga kuliko kuajiriwa so usikalili developers wanapiga mpunga sana IT ni kujiendeleza kwako na kuendana na wakati tu. Dunia imehamia huko shida yako tangu uanze ku burn CD unajiita IT.Nyie maboyaa tuu, IT anaply nafas utumish hajaitwa interview, anapiga simu customer care kulalamika. IT gani ww
Hii kitu sio ya kukurupukia, maokoto ni mengi lakini inahitaji uwe na passionate nayo siyo kwa kushauriwa. Mfano ufanye kazi kwenye meli kubwa za masafa mbona utagongewa sana mke au laah usioe kabisa. Sometimes mpaka 9 month in 1 month off minimum ni 4 month in mzee sio poa.Mavijana yaliyokataa shule hayo. Yakiona wenzao wamefanikiwa wanaanza fitna na taarabu na uganga kuroga wenzao. Wanafkiri I.T na CS ni kitu rahisi na cha mchezomchezo kama kunya na kukojoa 😂😂😂🙌🏾
Marine engineering ni pesa tupu na safari za kila leo nchi mbalimbali duniani! Nzuri sana! Adventure ya kutosha!
Yaan we ndo bure kabisa, me naanzaje kujiita IT kibongo bongoWapo IT wengi tu ni freelancers na wanapiga mpunga kuliko kuajiriwa so usikalili developers wanapiga mpunga sana IT ni kujiendeleza kwako na kuendana na wakati tu. Dunia imehamia huko shida yako tangu uanze ku burn CD unajiita IT
Duh!! Kwa hiyo div2 UDSM wanakuchukua?Kufeli nje nje ila ajira zipo
Nyuma ya hapo UDSM kuna kata ndogo wanaishi vibopa, inaitwa "Changanyikeni".... Kuna chuo kinaitwa "TAKWIMU"..., ndo chuo kikubwa Afrika mashariki kwa mambo hayo. Kuanzia ngazi ya cheti mpaka Masters Degree. Wahi ukaombe nafasi au pekua mtandaoni.Duh!! Kwa hiyo div2 UDSM wanakuchukua?
Usijibizane na huyo kijana.. nafkiri ana uwalakini kidogoWapo IT wengi tu ni freelancers na wanapiga mpunga kuliko kuajiriwa so usikalili developers wanapiga mpunga sana IT ni kujiendeleza kwako na kuendana na wakati tu. Dunia imehamia huko shida yako tangu uanze ku burn CD unajiita IT.
Umemaliza mkuu taaluma ziheshimiwe Mfugaji amweshimu Mkulima tusitafutane ubaya ICT & IT iheshimiwe km inavyoheshimiwa Engineering la Saba B wasikutoe kwenye reli tunajua la Saba B akiambiwa aunde mfumo mdogo hata wa calculator tu kwa kutumia Visual studio au NetBean au Android Studio au WPF hawezi ataishia kucheza na VLC & Virtual DJ's sababu ameidownload FileHorse.com / Free Software Download for Windows au atajipigapiga ajue FL Studio atengeneze beats na Adobe Photoshop atengeneze posters & cover basi bila hata kutambua kwamba alieiunda hio website na alieunda hio mifumo na applications anazozitumia alikaa darasani akasomea masuala ya ICT & IT iheshimiwe CS isidharauliwe ndio imemfanya Zuckerberg kutengeneza JF B kwa jeuri na kuiita Threads - A Slack Replacement Designed for MakersNi nani alikwambia wale wa-burn CD ni I.T's personell?! Wewe I.T unaijua vizuri?! Mjifunzage vitu muelewe au muulize mpewe madini
I.T sio kitu cha kipuuzi kama mnavyokifikiria nyinyi watu wa kawaida msiotaka kujua na ku-appreciate mambo makubwa, na wala I.T's hayo mambo hayako kwenye fani yao deeply! Hizo mambo za ku-burn CD na kuuza movie kitaa mtu yoyote anaweza kufanya akijua computer basics na utundu wa kuchezea vile vi-programs vitu ambavyo hata mtoto mdogo akiwa na Computer nyumbani basically atajua kufanya hayo mambo.
I.T ni dunia nyingine kubwa sana! Futa hayo mawazo kuanzia leo.. hakunaga I.T darasa la Saba
Kama hivyo TISS, BOT, TTCL, TIGO na mashirika mengine makubwa nchini na duniani wangewasomba hao la saba wawape kazi wakapate ulaji
WACHA KABISA!
Nimeku-follow na kuku-follow!!!🙌🏾🙌🏾🙌🏾👊🏾Umemaliza mkuu taaluma ziheshimiwe Mfugaji amweshimu Mkulima tusitafutane ubaya ICT & IT iheshimiwe km inavyoheshimiwa Engineering la Saba B wasikutoe kwenye reli tunajua la Saba B akiambiwa aunde mfumo mdogo hata wa calculator tu kwa kutumia Visual studio au NetBean au Android Studio au WPF hawezi ataishia kucheza na VLC & Virtual DJ's sababu ameidownload FileHorse.com / Free Software Download for Windows au atajipigapiga ajue FL Studio atengeneze beats na Adobe Photoshop atengeneze posters & cover basi bila hata kutambua kwamba alieiunda hio website na alieunda hio mifumo na applications anazozitumia alikaa darasani akasomea masuala ya ICT & IT iheshimiwe CS isidharauliwe ndio imemfanya Zuckerberg kutengeneza JF B kwa jeuri na kuiita Threads - A Slack Replacement Designed for Makers
✍️
Tupo PAMOJA MkuuNimeku-follow na kuku-follow!!!🙌🏾🙌🏾🙌🏾👊🏾