USHAURI: Ipitishwe sheria ya kumuwajibisha Hakimu anayehukumu watu bila ushahidi usioacha shaka

USHAURI: Ipitishwe sheria ya kumuwajibisha Hakimu anayehukumu watu bila ushahidi usioacha shaka

bloggerboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2017
Posts
568
Reaction score
1,217
Hakimu aliehukumu watu bila ushahidi,naye ahukumiwe,ipitishwe Sheria ya kuhukumu watu Kama Hawa.

Haiwezekani, hakimu bila ushahidi anahukumu mtu anatumikia miaka miwili, then anatolewa nje eti Hakimu alietoa hukumu hakuwa na ushahidi, huu ni ujinga Mkubwa.
 
Hakimu aliehukumu watu bila ushahidi,naye ahukumiwe,ipitishwe Sheria ya kuhukumu watu Kama Hawa.

Haiwezekani, hakimu bila ushahidi anahukumu mtu anatumikia miaka miwili,then anatolewa Nje eti hakimu alietoa hukumu hakuwa na ushahidi,huu ni ujinga Mkubwa.
Wala isiishie hapo. Anayetumikia hukumu kwa makosa ya hakimu kama hayo inabidi afidiwe!
 
Hakimu aliehukumu watu bila ushahidi,naye ahukumiwe,ipitishwe Sheria ya kuhukumu watu Kama Hawa.

Haiwezekani, hakimu bila ushahidi anahukumu mtu anatumikia miaka miwili,then anatolewa Nje eti hakimu alietoa hukumu hakuwa na ushahidi,huu ni ujinga Mkubwa.
CHANZO NI MAGU
 
Hakimu aliehukumu watu bila ushahidi,naye ahukumiwe,ipitishwe Sheria ya kuhukumu watu Kama Hawa.

Haiwezekani, hakimu bila ushahidi anahukumu mtu anatumikia miaka miwili,then anatolewa Nje eti hakimu alietoa hukumu hakuwa na ushahidi,huu ni ujinga Mkubwa.
Huyu hakimu kwa utawala huu mbovu atateuliwa kuwa Jaji soon
 
Back
Top Bottom