Walikuwa wanamdanganya kwao, kuna wazazi anamwambia kabisa mwanaye oa mwanamke mwenye kazi ili mwanamke awe anajisaidia mwenyewe hata kama ni kwao,. PhD ya ubinafsi, utazani hao watoto waliwabeba wote tumboni, sasa aoe mwenye kazi yake ili wasaidiane kulea watoto.Eti ulikuwa unaogopa mkiachana mtagawana mali wakati yeye ni mama wa nyumbani. SELFISHNESS inakukula. Mtu mmezaa, tena unampenda halfu ujifanya kuishi mguu ndani mguu nje. ukomeee
Kabila gani wewenaumia sana jamani dah
bargaig toka kateshKabila gani wewe
Huko mmezoea kupenda mifugo kuliko mwanamkebargaig toka katesh
Kama inauma chomoa ukimbienaumia sana jamani dah
Naunga mkono hoja.Hakuna kitu kibaya kama kujiona una control halafu upigwe tukio la ghafla. Unaweza kuchanganyikiwa
Hata hivyo mkuu Kama ni kweli, wengine hatuna cha kukushauri maana hatujaona tatizo. Mali uliyotaka kuilinda bado unayo pamoja na watoto, mwanamke kaenda kule anapoona anathaminiwa. Move on tu mkuu
Ulitaka wazazi wake waendelee kumlea mkeo na wanao?mimi ni mbabaz wa miaka 39, sijaoa lakini naishi na mwanamke ambaye naweza kusema kuwa ni kama mke wangu kwani nilishamtolea mahari, tumeishi pamoja kwa miaka kumi bila ndoa, sikuona umuhimu wa kufunga naye ndoa kwani yeye ni mama wa nyumbani, nilijua kama nikifunga naye ndoa ikatokea tunatengana basi tunaweza kugawana mali hivyo nikawa nafanya mambo yangu kimya kimya.
Kila mara alikua akilalamika kufunga ndoa mimi nampiga chenga, lakini siku za karibuni amekua haulizii tena mambo ya ndoa, alikaa kimya kwa meizi sita mpaka na mimi nikaanza kuwa na wasiwasi. Nilianza kuchunguza kwani nilihisi kuwa ana mwanaume mwingine, huwezi amini nimegundua kuwa mke wangu ana mwanaume mwingine, tena mtu mzima ambaye alishaoa na kufiwa na mke wake pamoja na mtoto mmoja, alikua hajaoa muda mrefu baada ya kufiwa na mke wake.
Baada ya kuona hivyo niliongea na mke wangu akaniambia kuwa hakuna kitu kama hicho, nilimuambia suala la kuoana nikamuambia kuwa sasa hivi mimi niko tayari lakini yeye ndiyo akawa mtu wakunipiga chenga mara nyumbani hawajajiandaa, nymbani hivi na nyumbani vile. Mimi niliamua tu kwenda mwenyewe lakini cha ajabu nimefika huko wakwe zangu wamekataa mimi nisimuoe binti yao, eti wanaseam nimemchezea muda mrefu hivyo wamenirudishia mahari yangu ingawa mimi nimekataa kuzipoke.
Nimemuuliza mke wangu anajifanya hajui kitu,a naniambia lakini kama wazazi wameamua yeye si wakuwapinga. Nimefuatilia kumbe kashampeleka yule mwanaume kwao na kajitambulisha na kutoa mahari. Nilipombana na kumpiga kidogo aliondoka, niliamua kumtishia na kumuambia kama anaondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine basi anaichie wanangu akanijibu hakuja kwangu na mtoto hivyo ni sawa tu nikibaki nao kwani ni wakwangu hata kama nikiamua kuwanyanyasa ni mimi, ananitumia meseji ananiambia tena ni afadhali kwani ingemuwia shida kuanza ndoa mpya na watoto. Tuna watoto watatu na mke wangu kaondoka na kuniachia nao, sijui hata nifanyeje
Sema tatizo mwanadada kaondoka Ila bado moyo upo kwa jamaa maana kama angetaka kuondoka, asingesubiria kufukuzwa. Kwa hiyo hii move ni aidha kadhamiria au kafanya kumkomoa ambavyo vyote vitaamua kama atapats furaha anayoitafuta au laNaunga mkono hoja.
Sister hood , mother hood, bongo hood and all of the hoods are proud of this woman.
🤣🤣🤣🤣Sikuhizi story za iddi makengo mnazileta huku Kwa kweli mnatukosea sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke akichoka hapo ndiyo mwisho, ukiona kila siku analalamika hicho kitu na anapuuzwa, ukiona kimya hiyo tayari ulishatolewa kwenye mfumo, Simba aliyekamata hapigi kelele [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Zamu yako nawewe katafute single mother huko msaidiane kulea watoto wenu.
Sasa wewe ulitaka umchezee mpka lini?Mkuumimi ni mbabaz wa miaka 39, sijaoa lakini naishi na mwanamke ambaye naweza kusema kuwa ni kama mke wangu kwani nilishamtolea mahari, tumeishi pamoja kwa miaka kumi bila ndoa, sikuona umuhimu wa kufunga naye ndoa kwani yeye ni mama wa nyumbani, nilijua kama nikifunga naye ndoa ikatokea tunatengana basi tunaweza kugawana mali hivyo nikawa nafanya mambo yangu kimya kimya.
Kila mara alikua akilalamika kufunga ndoa mimi nampiga chenga, lakini siku za karibuni amekua haulizii tena mambo ya ndoa, alikaa kimya kwa meizi sita mpaka na mimi nikaanza kuwa na wasiwasi. Nilianza kuchunguza kwani nilihisi kuwa ana mwanaume mwingine, huwezi amini nimegundua kuwa mke wangu ana mwanaume mwingine, tena mtu mzima ambaye alishaoa na kufiwa na mke wake pamoja na mtoto mmoja, alikua hajaoa muda mrefu baada ya kufiwa na mke wake.
Baada ya kuona hivyo niliongea na mke wangu akaniambia kuwa hakuna kitu kama hicho, nilimuambia suala la kuoana nikamuambia kuwa sasa hivi mimi niko tayari lakini yeye ndiyo akawa mtu wakunipiga chenga mara nyumbani hawajajiandaa, nymbani hivi na nyumbani vile. Mimi niliamua tu kwenda mwenyewe lakini cha ajabu nimefika huko wakwe zangu wamekataa mimi nisimuoe binti yao, eti wanaseam nimemchezea muda mrefu hivyo wamenirudishia mahari yangu ingawa mimi nimekataa kuzipoke.
Nimemuuliza mke wangu anajifanya hajui kitu,a naniambia lakini kama wazazi wameamua yeye si wakuwapinga. Nimefuatilia kumbe kashampeleka yule mwanaume kwao na kajitambulisha na kutoa mahari. Nilipombana na kumpiga kidogo aliondoka, niliamua kumtishia na kumuambia kama anaondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine basi anaichie wanangu akanijibu hakuja kwangu na mtoto hivyo ni sawa tu nikibaki nao kwani ni wakwangu hata kama nikiamua kuwanyanyasa ni mimi, ananitumia meseji ananiambia tena ni afadhali kwani ingemuwia shida kuanza ndoa mpya na watoto. Tuna watoto watatu na mke wangu kaondoka na kuniachia nao, sijui hata nifanyeje