Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆Wewe ndo unachezewa mkuu 😂😂
Pumbavu ushamtolea mahari na tuko na wewe mpaka ufe na tutamsaidia mirathi, binti yako akifanyiwa hivyo utajisikiaje mbwa weweEnheee umejifunza nini hapo wewe kama mwanaume wa hovyo na mbabaifu ambaye umekua single faza rasmi.
View attachment 3249123
Mallerina , njoo umpe neno.
Subili binti yako akueWatanzania wengi hawajui sheria zinazohusu ndoa
Kitendo cha kulipa mahari na kujulikana na wazazi wake hiyo ni ndoa ya kimila
Kilichokuwa kimebaki hapo ni kwenda kuisajili ndoa mpewe cheti cha ndoa
Mwanamke alikuwa anataka harusi sio ndoa
By the way shukuru Mungu lijambazi limeondoka ulikuwa unaishi na tapeli
Huyo sio mkeo pimbi wewemimi ni mbabaz wa miaka 39, sijaoa lakini naishi na mwanamke ambaye naweza kusema kuwa ni kama mke wangu kwani nilishamtolea mahari, tumeishi pamoja kwa miaka kumi bila ndoa, sikuona umuhimu wa kufunga naye ndoa kwani yeye ni mama wa nyumbani, nilijua kama nikifunga naye ndoa ikatokea tunatengana basi tunaweza kugawana mali hivyo nikawa nafanya mambo yangu kimya kimya.
Kila mara alikua akilalamika kufunga ndoa mimi nampiga chenga, lakini siku za karibuni amekua haulizii tena mambo ya ndoa, alikaa kimya kwa meizi sita mpaka na mimi nikaanza kuwa na wasiwasi. Nilianza kuchunguza kwani nilihisi kuwa ana mwanaume mwingine, huwezi amini nimegundua kuwa mke wangu ana mwanaume mwingine, tena mtu mzima ambaye alishaoa na kufiwa na mke wake pamoja na mtoto mmoja, alikua hajaoa muda mrefu baada ya kufiwa na mke wake.
Baada ya kuona hivyo niliongea na mke wangu akaniambia kuwa hakuna kitu kama hicho, nilimuambia suala la kuoana nikamuambia kuwa sasa hivi mimi niko tayari lakini yeye ndiyo akawa mtu wakunipiga chenga mara nyumbani hawajajiandaa, nymbani hivi na nyumbani vile. Mimi niliamua tu kwenda mwenyewe lakini cha ajabu nimefika huko wakwe zangu wamekataa mimi nisimuoe binti yao, eti wanaseam nimemchezea muda mrefu hivyo wamenirudishia mahari yangu ingawa mimi nimekataa kuzipoke.
Nimemuuliza mke wangu anajifanya hajui kitu,a naniambia lakini kama wazazi wameamua yeye si wakuwapinga. Nimefuatilia kumbe kashampeleka yule mwanaume kwao na kajitambulisha na kutoa mahari. Nilipombana na kumpiga kidogo aliondoka, niliamua kumtishia na kumuambia kama anaondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine basi anaichie wanangu akanijibu hakuja kwangu na mtoto hivyo ni sawa tu nikibaki nao kwani ni wakwangu hata kama nikiamua kuwanyanyasa ni mimi, ananitumia meseji ananiambia tena ni afadhali kwani ingemuwia shida kuanza ndoa mpya na watoto. Tuna watoto watatu na mke wangu kaondoka na kuniachia nao, sijui hata nifanyeje
Subili binti yako akue
Akaolewe mara ngap sasa mkuu, au ni uzinzi tu hata wazaz wa bint hawajitambuiUfanyaje sasa si wewe mwenyewe hukutaka kumuoa acha akaolewe na wengine
MaybeAkaolewe mara ngap sasa mkuu, au ni uzinzi tu hata wazaz wa bint hawajitambui