Ushauri jamani: Nanyanyasika ukweni, eti nimemchezea muda mrefu

Hii ndio ile ‘One man’s trash is another man’s treasure’

Dada popote ulipo kama kuna duka la mangi hapo nje pata fanta nyeusi ya baridiiiii (na hili joto) nitailipia. Umejua kumnyoosha huyu nyau
 
Situation kama hii iliwahi kumtokea mwanangu mmoja Kila akija kijiweni "utasikia tu Yani wanangu yule mwanamke mimi nime vumilia tu na alivo na pua kubwa kama pumbu za mtoto mdogo 🥶🤣watu kijiweni hoi kwa mbavu

Pole likuepukalo linashari"
 
Tafuta single mama kafunge nae ndoa watoto wake na WA kwako familia imetosha
 
Subili binti yako akue
 
Oya hili nalo ni lakuleta kwenyebalaza pijadiliwe. Nilitegemea unaleta hoja kwamba umefanya maamuzi ya kutafuta manzi nyingine mmekubaliana mnalea watoto maisha yanasonga, alafu ukija hapa sisi tunakiongezea abc za kutokaa kifala.
 
Huyo sio mkeo pimbi wewe
 
Subili binti yako akue
Kwa hiyo unamaanisha nile mahari ya kijana wa watu, aishi na binti yangu miaka 10 na wazae watoto 3 halafu nije kukubali aolewe na mwanaume mwingine!

Sijawa baba mpumbavu kiasi hicho
 
Sema wote tu mnamatatzo, wew uliokosea kuwa mbinafs.
Yey naye alikua hana uaminifu..
UKWEN kwako nao hawajitambui..

Tukiachana na hayo kisheria ukiish na mwanamke/mwanamme kuanzia miez mitatu 3+ hyo atajurikana ni mke/mme wa mtu.
Pia kitendo cha kutoa mahari na ikakubariwa na kuridhiwa pande mbil kwa waoaj/waolewaj huyo tayar ni mali yako tena ni mke harari kijadi.
Wew kijad na kisheria yule ni mkeo unaweza mshka ugoni.

Usukuman hiz ndoa nying sana, hutoa mahar na kubeba mzigo hapo hadi uzeen harus had wapende sasa.

Ila Mwisho...
Ucjisumbue kumludisha hyo mwanamke hana uaminifu tena ata akirud kwako.
Pili ameshakutoa moyon mwake, na hii ni hatar zaid.
Peleka watoto kwa bib yao au oa uckae single koz umli umeenda mno, ila uskurupuke kuoa.
Na usiwe mbinafs tena.

Mda si mref mkeo ataachika kule koz jamaa hawez kuwa na mwanamke aliesalit kwa kuhs atamsalit yey pia
 
Unaposema ulikuwa hujaoa una maana gani,kitendo cha kutoa mahali ni kuoa huko.
Kuna ndoa za aina tatu,kimila,kidini na kiserikali.

Huyo mwanamke kama ambavyo ulidhania mwanzo,alikuwa after mali zako.Na kweli ndicho kilichotokea.
Mie nakushauri huyo mwanamke anaonekana kabisa sio mwaminifu,hao watoto kawapime DNA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…