Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple,
Mwambie akununulie kitabu kimojawapo kati ya hivi Bible(kama wewe mkristo) au msaafu(kama wewe ni Muislamu) | Na utakitunza vyema hicho kitabu na kila ukionapo/ ukitumiapo basi utakuwa ukimkumbuka vyema.
Nje ya hapo hakuna zawadi ya maana atakayokupatia.
WASUKUMA tumeingiaje hapo mkuu trudie ?[emoji1]
HAPPY NEW YEAR 2023 Kelsea
Bro mwonbe akununulie bible ya king James versionHabari zenu wadau,
kuna dada mmoja tunafanya nae kazi ofisi X. Huyu dada ni mshikaji wangu since day one maana tulianza kazi siku moja na siku ya interview tulikua wote sema tulikua hatujazingatiana sana.
Sasa kipindi naanza kazi siku ya kwanza Paa hyu hapa tukatambulishwa pale maana ndo tulikua wageni kwa hyo sisi ndo tukawa marafiki.
Sasa tukawa marafiki tumeshazoena sana na aakajua nguo ninazopenda na vitu ninavyopenda mwaka jana mwezi wa 6 ilikua ni happy birthday yangu daah hauwezi amini akanipigia akaniambi i have suprise for you nikamuambia really? akasema yeah nikawamua ok naisubiri akaniambia poa.
Daah kesho kaja kazini mida ya kama saa 4 hivi nikaletewa cake ofisini daaah akaniapa na mfuko akaniambi huu utaufungua bade aisee nilifrahi saana tukakata cake tukawa tunawalisha wafanyakazi wenzetu wa ofisini.
Nikatoka job nina kimuhe muhe cha kufungua zawadi ile nimefika tuu home daaah huwezi amini huyu dada alikua amenununulia samsung galax note 8 jezi ya chelsea na yanga daaah niliishiwa pozi nikamshukuru sana.
Mwisho wa mwaka huu walivunja vikoba akanitumia laki moja akaniambia my friend ya kwako hyo, sasa kapata kazi mpya na mshahara umenonan zaidi akaniambia nichague zawadi ninayoitaka aninunulie ili akiondoka nisiweze kumsahau hapa ndo nawaza zawadi gani? sijawahi kumtongoza sijawahi mwambia habari za mapenzi yaani nashindwa tuu kuelewa naogopa nikimtongoza urafiki wetu utavunjika.
Ila niliishi naye vizuri saana.
Thanks, Happy New Year rafiki yangu [emoji7]HAPPY NEW YEAR 2023 Kelsea
I love ma best and i don't know what to do[emoji23]Habari zenu wadau,
kuna dada mmoja tunafanya nae kazi ofisi X. Huyu dada ni mshikaji wangu since day one maana tulianza kazi siku moja na siku ya interview tulikua wote sema tulikua hatujazingatiana sana.
Sasa kipindi naanza kazi siku ya kwanza Paa hyu hapa tukatambulishwa pale maana ndo tulikua wageni kwa hyo sisi ndo tukawa marafiki.
Sasa tukawa marafiki tumeshazoena sana na aakajua nguo ninazopenda na vitu ninavyopenda mwaka jana mwezi wa 6 ilikua ni happy birthday yangu daah hauwezi amini akanipigia akaniambi i have suprise for you nikamuambia really? akasema yeah nikawamua ok naisubiri akaniambia poa.
Daah kesho kaja kazini mida ya kama saa 4 hivi nikaletewa cake ofisini daaah akaniapa na mfuko akaniambi huu utaufungua bade aisee nilifrahi saana tukakata cake tukawa tunawalisha wafanyakazi wenzetu wa ofisini.
Nikatoka job nina kimuhe muhe cha kufungua zawadi ile nimefika tuu home daaah huwezi amini huyu dada alikua amenununulia samsung galax note 8 jezi ya chelsea na yanga daaah niliishiwa pozi nikamshukuru sana.
Mwisho wa mwaka huu walivunja vikoba akanitumia laki moja akaniambia my friend ya kwako hyo, sasa kapata kazi mpya na mshahara umenonan zaidi akaniambia nichague zawadi ninayoitaka aninunulie ili akiondoka nisiweze kumsahau hapa ndo nawaza zawadi gani? sijawahi kumtongoza sijawahi mwambia habari za mapenzi yaani nashindwa tuu kuelewa naogopa nikimtongoza urafiki wetu utavunjika.
Ila niliishi naye vizuri saana.
Mimi Ushauri wangu unabase hapa Kwa Dr criminalI think she's a friend to keep bro
Au tofauti na zawadi ni kipi kingine kakufanyia au kukuambia kikaashiria kukupenda?
Mapenzi yaweza kufa but urafiki ni forever
Nina wasiwasi na elimu yako[emoji23]Habari zenu wadau,
kuna dada mmoja tunafanya nae kazi ofisi X. Huyu dada ni mshikaji wangu since day one maana tulianza kazi siku moja na siku ya interview tulikua wote sema tulikua hatujazingatiana sana.
Sasa kipindi naanza kazi siku ya kwanza Paa hyu hapa tukatambulishwa pale maana ndo tulikua wageni kwa hyo sisi ndo tukawa marafiki.
Sasa tukawa marafiki tumeshazoena sana na aakajua nguo ninazopenda na vitu ninavyopenda mwaka jana mwezi wa 6 ilikua ni happy birthday yangu daah hauwezi amini akanipigia akaniambi i have suprise for you nikamuambia really? akasema yeah nikawamua ok naisubiri akaniambia poa.
Daah kesho kaja kazini mida ya kama saa 4 hivi nikaletewa cake ofisini daaah akaniapa na mfuko akaniambi huu utaufungua bade aisee nilifrahi saana tukakata cake tukawa tunawalisha wafanyakazi wenzetu wa ofisini.
Nikatoka job nina kimuhe muhe cha kufungua zawadi ile nimefika tuu home daaah huwezi amini huyu dada alikua amenununulia samsung galax note 8 jezi ya chelsea na yanga daaah niliishiwa pozi nikamshukuru sana.
Mwisho wa mwaka huu walivunja vikoba akanitumia laki moja akaniambia my friend ya kwako hyo, sasa kapata kazi mpya na mshahara umenonan zaidi akaniambia nichague zawadi ninayoitaka aninunulie ili akiondoka nisiweze kumsahau hapa ndo nawaza zawadi gani? sijawahi kumtongoza sijawahi mwambia habari za mapenzi yaani nashindwa tuu kuelewa naogopa nikimtongoza urafiki wetu utavunjika.
Ila niliishi naye vizuri saana.
Akhsante sana rafiki yangu kipenzi mzuri
Kwema, mzma??Akhsante sana rafiki yangu kipenzi mzuri
Kwema lakini mkuu
Nilipanda daladala Mwanza, baba msukuma yupo na watoto wake akapiga simu kwa rafiki yake anamwambia " nipo njiani nawapeleka anko zako kwenye happy birthday ya rafiki yao".WASUKUMA tumeingiaje hapo mkuu trudie ?[emoji1]
Mimi ni mzima kabisa mkuu
Asee we kijana mbona ubongo mzito hvyoHabari zenu wadau,
kuna dada mmoja tunafanya nae kazi ofisi X. Huyu dada ni mshikaji wangu since day one maana tulianza kazi siku moja na siku ya interview tulikua wote sema tulikua hatujazingatiana sana.
Sasa kipindi naanza kazi siku ya kwanza Paa hyu hapa tukatambulishwa pale maana ndo tulikua wageni kwa hyo sisi ndo tukawa marafiki.
Sasa tukawa marafiki tumeshazoena sana na aakajua nguo ninazopenda na vitu ninavyopenda mwaka jana mwezi wa 6 ilikua ni happy birthday yangu daah hauwezi amini akanipigia akaniambi i have suprise for you nikamuambia really? akasema yeah nikawamua ok naisubiri akaniambia poa.
Daah kesho kaja kazini mida ya kama saa 4 hivi nikaletewa cake ofisini daaah akaniapa na mfuko akaniambi huu utaufungua bade aisee nilifrahi saana tukakata cake tukawa tunawalisha wafanyakazi wenzetu wa ofisini.
Nikatoka job nina kimuhe muhe cha kufungua zawadi ile nimefika tuu home daaah huwezi amini huyu dada alikua amenununulia samsung galax note 8 jezi ya chelsea na yanga daaah niliishiwa pozi nikamshukuru sana.
Mwisho wa mwaka huu walivunja vikoba akanitumia laki moja akaniambia my friend ya kwako hyo, sasa kapata kazi mpya na mshahara umenonan zaidi akaniambia nichague zawadi ninayoitaka aninunulie ili akiondoka nisiweze kumsahau hapa ndo nawaza zawadi gani? sijawahi kumtongoza sijawahi mwambia habari za mapenzi yaani nashindwa tuu kuelewa naogopa nikimtongoza urafiki wetu utavunjika.
Ila niliishi naye vizuri saana.