T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Haha!! Alitakiwa kuongeaje?Nilipanda daladala Mwanza, baba msukuma yupo na watoto wake akapiga simu kwa rafiki yake anamwambia " nipo njiani nawapeleka anko zako kwenye happy birthday ya rafiki yao".
Basi sijui ni sifa alitaka akawa anawaambia wanae "leo mtafurahi sana kwenye happy birthday wanangu".
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hii story ni ya kweli kabisa sijatungaWaswahili daima husema bure ni ghali. Sasa akili mukichwa, kama ni story ya kweli japo ina ukakasi kuiamini basi juwa unaandaliwa kisaikolojia. Utapigwa kizinga kimoja cha haja unaweza jikuta unawekea rehani mpaka nyumba ya urithi.
Ila bado siamini kuwahii hiki ni kisa cha kweli. Wabongo wanavyopenda dezo, ingekuwa kweli ungeogopa hata kuomba ushauri kwa hofu msesereko wako utaibiwa.
Umemfungulia code muhimu sana jamaa!Kama unampenda na una malengo nae mueleze kuwa zawadi unayoitaka kutoka kwake ni yeye.
Aseee iko namnaUkiona demu anakuhonga ujue ana ngoma
Umeshawai mpa zawadi gani?Habari zenu wadau,
kuna dada mmoja tunafanya nae kazi ofisi X. Huyu dada ni mshikaji wangu since day one maana tulianza kazi siku moja na siku ya interview tulikua wote sema tulikua hatujazingatiana sana.
Sasa kipindi naanza kazi siku ya kwanza Paa hyu hapa tukatambulishwa pale maana ndo tulikua wageni kwa hyo sisi ndo tukawa marafiki.
Sasa tukawa marafiki tumeshazoena sana na aakajua nguo ninazopenda na vitu ninavyopenda mwaka jana mwezi wa 6 ilikua ni happy birthday yangu daah hauwezi amini akanipigia akaniambi i have suprise for you nikamuambia really? akasema yeah nikawamua ok naisubiri akaniambia poa.
Daah kesho kaja kazini mida ya kama saa 4 hivi nikaletewa cake ofisini daaah akaniapa na mfuko akaniambi huu utaufungua bade aisee nilifrahi saana tukakata cake tukawa tunawalisha wafanyakazi wenzetu wa ofisini.
Nikatoka job nina kimuhe muhe cha kufungua zawadi ile nimefika tuu home daaah huwezi amini huyu dada alikua amenununulia samsung galax note 8 jezi ya chelsea na yanga daaah niliishiwa pozi nikamshukuru sana.
Mwisho wa mwaka huu walivunja vikoba akanitumia laki moja akaniambia my friend ya kwako hyo, sasa kapata kazi mpya na mshahara umenonan zaidi akaniambia nichague zawadi ninayoitaka aninunulie ili akiondoka nisiweze kumsahau hapa ndo nawaza zawadi gani? sijawahi kumtongoza sijawahi mwambia habari za mapenzi yaani nashindwa tuu kuelewa naogopa nikimtongoza urafiki wetu utavunjika.
Ila niliishi naye vizuri saana
Ashindwe yeye mwenyeweUmemfungulia code muhimu sana jamaa!
Tupo wengi 😁😁 nimebaki na rozari ata kichwani haipitiNilipewa Biblia Kwenye kipaimara changu miaka hiyo
Hata sijui iko wapi.
#YNWA
Nawapeleka anko zako kwenye birthday party labda. Hiyo " happy" haina maana kwenye sentensiHaha!! Alitakiwa kuongeaje?
Pole mkuu! Mlitengana au alifariki?My wangu ndio alikua na tabia kama hizi, alikua akiona picha za nguo instagram basi screenshot na pesa vitafuatana nikanunue hivyo vitu.
Sema vitu Vizuri havidumu...!
But I really experienced and enjoyed peak unconditional love❤️
Usiwe na wasiwasi kuwa na mashakaNina wasiwasi na elimu yako[emoji23]
Huyo Dada bado haamini ulivyo boya...Hadi akutongoze huku kavua nguo ndo uelewe
ndo maana mambo ya ndoa yanakwendea mrama jamaa yanguNilipewa Biblia Kwenye kipaimara changu miaka hiyo
Hata sijui iko wapi.
#YNWA