Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Acha kumdanganya mwenzako. yeye kakwambia ana 6m
wewe unamshawishi akaongeze atazipata wapi kwa usawa huu?
muokotamatunda wewe ingia www.zoomtanzania.com huko kuna gari kibao na za bei yako uitakayo
hata za 5m km wasemavyo Member wengine
na uzuri wa huko unaongea na mwenye gari kabisa, hata km kuna Dalali hapo kati mwambie namtaka mwenye mali
wewe unamshawishi akaongeze atazipata wapi kwa usawa huu?
muokotamatunda wewe ingia www.zoomtanzania.com huko kuna gari kibao na za bei yako uitakayo
hata za 5m km wasemavyo Member wengine
na uzuri wa huko unaongea na mwenye gari kabisa, hata km kuna Dalali hapo kati mwambie namtaka mwenye mali