shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,901
Zina tatizo gani, maana zinauzwa sanaBrevis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zina tatizo gani, maana zinauzwa sanaBrevis
Amevaa suti flani .ukimkosa search nyuzi za magari .utauona tu uzi wake.ana kila aina ya gariWapo wengi hatari
SawaAmevaa suti flani .ukimkosa search nyuzi za magari .utauona tu uzi wake.ana kila aina ya gari
Nafikiri zile Brevis utazipataNdugu zangu nawasalimu humu,
Kama mada inavyojieleza hapo juu, ni kweli kiasi cha hiyo pesa naweza pata ka ndiga ka kuzugia au nijazie kidogo? Aina ya gari ni Toyota Run x, Allex, IST, Raum au Spacio.
Asanteni ndugu zangu, kikubwa naomba msaada wa mawazo na uzoefu wenu.
Na wewe jichange buku 7 zako ununue gariMnanunua magari huku mkilalama vyuma kukaza
Jini hiloZina tatizo gani, maana zinauzwa sana
Kweli Brevis zimeshuka hadi milioni 6.5Zina tatizo gani, maana zinauzwa sana
Zina tatizo gani, maana zinauzwa sana
Thanks a lot.Uko serious unavitaka hivo vigari ? Nakushauri bora uingie insta au mtafute yule jamaa wa humu jf utapata gari nzuri kama marx x.tezza nk kwa bei hyo au uongeze m2 hvi kuliko kuendesha toyota ist mkuu
Poa mkuu.Acha kumdanganya mwenzako. yeye kakwambia ana 6m
wewe unamshawishi akaongeze atazipata wapi kwa usawa huu?
muokotamatunda wewe ingia www.zoomtanzania.com huko kuna gari kibao na za bei yako uitakayo
hata za 5m km wasemavyo Member wengine
na uzuri wa huko unaongea na mwenye gari kabisa, hata km kuna Dalali hapo kati mwambie namtaka mwenye mali
pamoja na mambo mengine,mkuu maisha inabidi yaende.asante kwa kuchangia.Mnanunua magari huku mkilalama vyuma kukaza
Tatizo hizo cc mkuu zitanishinda.Nafikiri zile Brevis utazipata
Na hapo ndio pagumu wengi wanaamua kuyauza kwa bei kama hizoTatizo hizo cc mkuu zitanishinda.
Uoga wao vijana tu huo.Brevis zinaogopeka sana aisee