ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Huko nako ni yale yaleFocus yetu kwa sasa ni Super lig uto mtulie na hiro kombe la loser
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko nako ni yale yaleFocus yetu kwa sasa ni Super lig uto mtulie na hiro kombe la loser
Thank you in advance.Singida ni magenius mkuu .....nyie ufalme wenu upo jukwaa la Great thinkers
Ndio mpira zam yetu inakuja tutakua bora zaidiHamtafika kokote mkuu
Naskia yule mfungaji role model wake ni MayeleSalaam wakuu
Lengo la kuwepo hapa jf sports ni kupeana ushauri kuhusu mambo ya soka....lkn Je Kuna umuhimu wa kuwepo hapa kama timu Yako imetolewa/ haipo mashindano ya kimataifa (CAF)
Ushauri
Mimi naona ndugu zetu wanalunyasi wote muhamie jukwaa la mapenzi na mahusiano......mkaeendeleze kujifunza kula kimasihara ricky boy tunaomba pokea hizo kolo zote
Sababu
Kuendelea kudiscuss nao ( wanalunyasi) hapa jukwaani watu walio feli kimataifa ni sawa na mtu mwenye elimu kubwa ya masters/ uprofesa kupokea ushauri Kwa mtu wa Drs la 7.........it's unprofessional and haikubaliki
Swali wakuu: Kwanini mfungaji wa wydadi alishangilia staili ya mayele View attachment 2603426
AaahahhahaIli mbakie msio na akili wenyewe
sawa kwan wananchi wakiwemo ndo wanaondoa hadhi ya super league kuitwa ya kimataifaNi hata wananchi wamo....timu zinaongezwa
Yeye mwenyewe kaikuta.Hayo mamlaka ya kutaka watu wajiondoe kapewa na nani?Haya tunajiondoa mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Salaam wakuu
Lengo la kuwepo hapa jf sports ni kupeana ushauri kuhusu mambo ya soka....lkn Je Kuna umuhimu wa kuwepo hapa kama timu Yako imetolewa/ haipo mashindano ya kimataifa (CAF)
Ushauri
Mimi naona ndugu zetu wanalunyasi wote muhamie jukwaa la mapenzi na mahusiano......mkaeendeleze kujifunza kula kimasihara ricky boy tunaomba pokea hizo kolo zote
Sababu
Kuendelea kudiscuss nao ( wanalunyasi) hapa jukwaani watu walio feli kimataifa ni sawa na mtu mwenye elimu kubwa ya masters/ uprofesa kupokea ushauri Kwa mtu wa Drs la 7.........it's unprofessional and haikubaliki
Swali wakuu: Kwanini mfungaji wa wydadi alishangilia staili ya mayele View attachment 2603426
Huna uwezo huo.Mabaliko yanatokea
Yaani wajifunze kutolewa kila wanapofika robo fainali? Waarabu walipolia mkatinga nusu fainali? Kuna fyuzi imekatika vichwani mwenu mashabiki wa Ngada fc sio bure!Kutolewa haimaanishi kuwa simba sio timu kubwa au yanga wameipita ukubwa bado sana mnacha kujifunza kwa simba jana waarabu walikuwa wanalia walichanganyikiwa..
Yaani hajui kwamba Simba bado ipo Super CupWewe ni kihiyo