Ushauri juu ya biashara ya kitimoto

Ushauri juu ya biashara ya kitimoto

Hivi wakuu mliopo maeneo ya DSM na mlio wazoefu wa biashara ya Kitimoto bei zake zipoje kwa viti moto vya kutoka Mikoani???.
 
Wadau kuna hili wazo la biashara ya kununua nguruwe huko Morogoro kuchinja na kuleta hapa Dar, ofcourse itahitaji uwe na order kwenye vituo vya kuuzia nyama ya nguruwe, kwenye mabaa na watu binafsi.

Unanunua nguruwe wa 100 kg kwa TZS 300,000/- unachinja na kuondoka na nyama fasta hadi Dar unaanza kusupply. Unaweza beba wawili hadi wanne kutokana na usafiri unaotumia na maandalizi uliyoweka.

Kama wapo wadai ambao wanaielewa hii biashara mazuri na mabaya mnijuze tafadhali.

Samahani wa wadau ambao hii ni haramu kwao.

Natanguliza shukrani.
Mtaji huu hapa
ParttimeDuty.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
 
Nilisha fanya Hii Kitu na jamaa yangu,Uzuri Sisi soko tulikuwa nalo tayari japo halikuwa Kubwa sana.Changamoto kubwa ilikuwa upatikanaji wa hao nguruwe huko morogoro.

Inabidi uzunguke maeneo mengi Mengi ili kupata na kuna Wakati inabidi usubiri muda kidogo mpaka wapatikane Kwahiyo unakuwa huna constant supply kwa Wateja wako

Kwahiyo kikubwa ni soko la uhakika lakini zaidi ni upatikanaji wa hao nguruwe kwa wakati

Kila la kheri

Naomba uelezee pia mchanganuo wa namba.....mli invest kiasi gan na at the end mkapata kiasi gani?
 
nguruwe wanalipa sana mkuu.mm nimejenga mabanda kijijin kwetu njombe kama eneo la hekali moja hv.niliona jinsi jamaa yangu anavyooingza pesa kwa biashara ya nguruwe.ushauri wangu kwako unapoanza kufuga nguruwe hakikisha chakula mda wote kinapatikana na pia chagua nguruwe ambao wanzaa watoto weng yaan mbegu nzur.mm Nina nguruwe ambaye anzaa watoto hadi 15..huku mbeya nguruwe ukimtunza sana ndani ya miez 9 ukosi kumuuza lak 450000_50000
 
nguruwe wanalipa sana mkuu.mm nimejenga mabanda kijijin kwetu njombe kama eneo la hekali moja hv.niliona jinsi jamaa yangu anavyooingza pesa kwa biashara ya nguruwe.ushauri wangu kwako unapoanza kufuga nguruwe hakikisha chakula mda wote kinapatikana na pia chagua nguruwe ambao wanzaa watoto weng yaan mbegu nzur.mm Nina nguruwe ambaye anzaa watoto hadi 15..huku mbeya nguruwe ukimtunza sana ndani ya miez 9 ukosi kumuuza lak 450000_50000
Hongera mkuu
 
nguruwe wanalipa sana mkuu.mm nimejenga mabanda kijijin kwetu njombe kama eneo la hekali moja hv.niliona jinsi jamaa yangu anavyooingza pesa kwa biashara ya nguruwe.ushauri wangu kwako unapoanza kufuga nguruwe hakikisha chakula mda wote kinapatikana na pia chagua nguruwe ambao wanzaa watoto weng yaan mbegu nzur.mm Nina nguruwe ambaye anzaa watoto hadi 15..huku mbeya nguruwe ukimtunza sana ndani ya miez 9 ukosi kumuuza lak 450000_50000
Mkuu naweza pata mawasilianao yako? Niwafuga ila hii mbegu yako sina naihitaji
 
nguruwe wanalipa sana mkuu.mm nimejenga mabanda kijijin kwetu njombe kama eneo la hekali moja hv.niliona jinsi jamaa yangu anavyooingza pesa kwa biashara ya nguruwe.ushauri wangu kwako unapoanza kufuga nguruwe hakikisha chakula mda wote kinapatikana na pia chagua nguruwe ambao wanzaa watoto weng yaan mbegu nzur.mm Nina nguruwe ambaye anzaa watoto hadi 15..huku mbeya nguruwe ukimtunza sana ndani ya miez 9 ukosi kumuuza lak 450000_50000
mbona tofauti ya bei kubwa sana? Yaani laki nne na nusu hadi elfu hamsini
 
Mi mwenyewe mkuu nina nguruwe nilitaka nioanur huo mrad na kufikisha Nguruwe 50 kwa mwaka huu
 
Hahaahaa.. Et haina tofaut na bangi kwel mkuu mijitu mingine bana kaz kubishana tu na mungu imeshaambiwa huyo mdudu haramu haisikii tu mbona kuna biashara nzur tu za halal mpaka tu mng'ang'anie tu hayo manguruwe? Din zote znakataza hayo madudu yasiliwe hamsikii tu
 
Hahaahaa.. Et haina tofaut na bangi kwel mkuu mijitu mingine bana kaz kubishana tu na mungu imeshaambiwa huyo mdudu haramu haisikii tu mbona kuna biashara nzur tu za halal mpaka tu mng'ang'anie tu hayo manguruwe? Din zote znakataza hayo madudu yasiliwe hamsikii tu

Wewe mwenyewe unakula kwa siri halafu udanganya wenzio wasile...dini mojo tu ndo inakataza lkn nyingine ni chochote kimuingia mtu kinywani hakimtii unajisi....
 
Back
Top Bottom