ngafu.fijo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,237
- 1,099
Unapoteza muda bure kubishana na mtu mwenye uelewa wa ivo..,Duu! kuna watu ni wagumu kuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoteza muda bure kubishana na mtu mwenye uelewa wa ivo..,Duu! kuna watu ni wagumu kuelewa.
tehe teheSoko lake si haba maana ni mnyama anaeongoza kwa utamu huku akifuatiwa na kuku..so fuga tu mkuu washabiki wa hiyo kitu tuko wengi sana
Jamani mie nina plan ya kufuga kitimoto kwa wingi.
nmesha fuatilia kwa karibu gharama infmashen nyingi ila
kabla sijaanza ufugaji wenyewe naomba nijue kuhusu soko.
nia yangu ni kufuga na kuuza wakiwa wazima (sio kuuza nyama)
kwa hivyo naomba ajuaye anifahamishe wapi lilipo soko zuri la hii nyama nzuri.
soko hilo lipoje(kama kwa kilo ni bei gani)?
kwa uwezo wangu na plan yangu naweza kutoa kitimoto sio chini ya 50 kila awamu.
Mimi nipo mwanza.
Nnaomba kufahamishwa please.
Du natamani kitimoto bana nimesoma nikapata hamu haswa kitimoto choma da asikuambie mtuDuu! kuna watu ni wagumu kuelewa.
Mkuu hapo ikitoka kitimoto anafata sunguraSoko lake si haba maana ni mnyama anaeongoza kwa utamu huku akifuatiwa na kuku..so fuga tu mkuu washabiki wa hiyo kitu tuko wengi sana
Ukisema hawana gharama kubwa labda unalinganisha na kuku wa kisasa. Vinginevyo nguruwe ni kati ya mifugo yenye gharama kubwa za ulishaji. Hadi waingereza wana msemo huu: "A pig is a sack of grain by another name". Wanamaanisha kulisha nguruwe ni sawa na kujaza nafaka kwenye gunia.Usiogope Mkuu sheria ipo itawafunga ndani. Kuna wa2 walifanya hivyo wakalipa fidia ya ukweli...
Nguruwe anafaida sana mkuu. Na wala hana Gharama kubwa kama Wanyama wengine kwenye Vyakula.
Mi nishawafuga Najua Kwahiyo siongei tu... Mi sifuatu Misemo Ya Mitandao...Ukisema hawana gharama kubwa labda unalinganisha na kuku wa kisasa. Vinginevyo nguruwe ni kati ya mifugo yenye gharama kubwa za ulishaji. Hadi waingereza wana msemo huu: "A pig is a sack of grain by another name". Wanamaanisha kulisha nguruwe ni sawa na kujaza nafaka kwenye gunia.
Kwa mfano huwezi kufananisha nguruwe na ng'ombe kwa sababu chakula kikuu cha ng'ombe ni nyasi vingine ni vya ziada ili kuboresha lishe.
Naomba muongozo nijue wapi wanauza watoto wa nguruwe Mwanza? Asante mkuuUko Mza sehemu gani Mkuu nikuelekeze kwa wafugaji wazoefu wa hiyo mifugo?
Umenena vema Mkuu, pumba iko juu kwa sasa gharama za chakula kwa ufugaji wa pig ni wa juu kila kukicha. Hapa Jf watu wengi si wakweli. Sisi wafugaji wakongwe tunajua A-Z.Hali ya uchumi imeyumbisha biashara ya kitimoto ukilinganisha na zamani. Mauzo yake makubwa ni kwenye baa, ambazo sasa zimeamuriwa kufunguliwa saa 10 ili watu wafanye kazi, kana yenyewe si kazi. Pia pumba, chakula kikuu cha ktm, bei iko juu. Faida ya hiyo biashara si kubwa kama wasemavyo, na hasa ukitunza kumbukumbu za shughuli yote. Mtaji mkubwa wa biashara hiyo ni ujenzi wa mabanda.
ukitaka kufuga nguruwe andaa kabisa shamba la mahindi kama hekari 6 hivi la kulisha nguruwe pamoja na alizet kidogo.nakuakikishia hautokuja kujuta kamweUmenena vema Mkuu, pumba iko juu kwa sasa gharama za chakula kwa ufugaji wa pig ni wa juu kila kukicha. Hapa Jf watu wengi si wakweli. Sisi wafugaji wakongwe tunajua A-Z.
haramu hyo
biashara haramu hiyo haina tofauti na bange
Ni bora mkaanzisha uzi wa HALALI kuliko kuchafua mada za wengine.Wanalipa kodi au nauli?
Kwanza usiwategemee wanafunzi kwenye hiyo biashara kwa 7bu kipindi hiki wengi wanasoma kwa shida.
Fanya hivi
Angalia kwanza kama kuna waislam wengi maeneo hayo??
Hafu angalia je walaji wapo?
Kiukweli hiyo biashara kiustaarabu bila kuwa karibu na bar uuzwaji wake hua shida