Ushauri juu ya matumizi ya sauna

Ushauri juu ya matumizi ya sauna

Kama elii alivyosema ukizoea sauna huwezi kuacha. Mimi nimekuwa addicted na sauna sana. Naingia pale mara mbili kwa wiki na gharama yangu kwa wiki ni kama Tshs.14,000. Lakini hiyo naona siyo kitu. Nimepata nafuu sana. Kitu kama malaria, gauti na magonjwa mengine ni kama historia. Unapotoka pale unakuwa sana mwepesi. Ngozi inakuwa sana laini na ukilala unalala usingizi wa pono. Wazazi wetu huko nyuma walikuwa na sauna yao. Mfano kama mtu alikuwa naumwa kila mara waliweza kuchemsha maji kwenye chungu kikubwa na lile chungu linafunikwa na blanketi kubwa na wewe pia unafunikwa na lile blanketi kwa hiyo ule mvuke unaotaoka kwenye chungu unakufikia na mhusika kuanza kutoa jasho jingi. Wazungu wameiboresha lakini na sisi waafrika tulikuwa na sauna yetu. Sauna ni tiba hasa ukitumia chapa shoka.
Hii ya kuchanganya miarobaini na baadhi ya majani nilishawahi fanyiwa na bimkubwa nakumbuka nilikamatwa na Malaria kali sana nikapigwa hii kitu asee jasho jingi lilitoka baada siku mbili Malaria kwisha habari haya madawa ya hospital mda mwingine yanajaza sumu mwilini asee.
 
agreed; KUFUKIZWA TUNAITA HUKO TZ

Kama elii alivyosema ukizoea sauna huwezi kuacha. Mimi nimekuwa addicted na sauna sana. Naingia pale mara mbili kwa wiki na gharama yangu kwa wiki ni kama Tshs.14,000. Lakini hiyo naona siyo kitu. Nimepata nafuu sana. Kitu kama malaria, gauti na magonjwa mengine ni kama historia. Unapotoka pale unakuwa sana mwepesi. Ngozi inakuwa sana laini na ukilala unalala usingizi wa pono. Wazazi wetu huko nyuma walikuwa na sauna yao. Mfano kama mtu alikuwa naumwa kila mara waliweza kuchemsha maji kwenye chungu kikubwa na lile chungu linafunikwa na blanketi kubwa na wewe pia unafunikwa na lile blanketi kwa hiyo ule mvuke unaotaoka kwenye chungu unakufikia na mhusika kuanza kutoa jasho jingi. Wazungu wameiboresha lakini na sisi waafrika tulikuwa na sauna yetu. Sauna ni tiba hasa ukitumia chapa shoka.
 
Unatoka jasho jingi sana si la kitoto mimi mara ya kwanza nilitoa jasho takriban 1/4 ndoo
Kuna kuwa na Sufuria la maji yanayochemka then una mimi kitu kama Chapa ya Shoka au Jivan San Jivan basi unakuwa na breathing flani hivi very amazing
Ukitoka hapo utafikiri umejog 30km ngozi inakuwa lainii unapata usingizi wa kufa mtu yaani ile kitu naomba Mungu mwaka huu niikamilishe
Chapa shoka ndio nini wakuu?
 
Kama elii alivyosema ukizoea sauna huwezi kuacha. Mimi nimekuwa addicted na sauna sana. Naingia pale mara mbili kwa wiki na gharama yangu kwa wiki ni kama Tshs.14,000. Lakini hiyo naona siyo kitu. Nimepata nafuu sana. Kitu kama malaria, gauti na magonjwa mengine ni kama historia. Unapotoka pale unakuwa sana mwepesi. Ngozi inakuwa sana laini na ukilala unalala usingizi wa pono. Wazazi wetu huko nyuma walikuwa na sauna yao. Mfano kama mtu alikuwa naumwa kila mara waliweza kuchemsha maji kwenye chungu kikubwa na lile chungu linafunikwa na blanketi kubwa na wewe pia unafunikwa na lile blanketi kwa hiyo ule mvuke unaotaoka kwenye chungu unakufikia na mhusika kuanza kutoa jasho jingi. Wazungu wameiboresha lakini na sisi waafrika tulikuwa na sauna yetu. Sauna ni tiba hasa ukitumia chapa shoka.
Yes, sisi tuliita 'kufukiza' na kule kwetu walikuwa wanachemsha madawa ya mitishamba kwenye chungu kikubwa kilichofunikwa vizuri na jani la mgomba, madawa yakishachemka chungu kinaepuliwa mtu anakaa kwenye kigoda anafunikwa na mablanketi na chungu kinawekwa ndani ya blanketi. Mfukizwagi anakuwa anafunua lile jani la mgomba taratibu mvuke unatoka unamzingira mule ndani ya blanketi. Unafanya hilo zoezi dk 45 mpaka lisaa unatoka jasho kweli kweli, Kisha unatoka kwenda kuoga kabla jasho halijakukaukia. Bibi yetu alitufanyia sana wajukuu wake. Kwa sasa hakuna tena naona watu wako busy na mahospitali
 
Kama elii alivyosema ukizoea sauna huwezi kuacha. Mimi nimekuwa addicted na sauna sana. Naingia pale mara mbili kwa wiki na gharama yangu kwa wiki ni kama Tshs.14,000. Lakini hiyo naona siyo kitu. Nimepata nafuu sana. Kitu kama malaria, gauti na magonjwa mengine ni kama historia. Unapotoka pale unakuwa sana mwepesi. Ngozi inakuwa sana laini na ukilala unalala usingizi wa pono. Wazazi wetu huko nyuma walikuwa na sauna yao. Mfano kama mtu alikuwa naumwa kila mara waliweza kuchemsha maji kwenye chungu kikubwa na lile chungu linafunikwa na blanketi kubwa na wewe pia unafunikwa na lile blanketi kwa hiyo ule mvuke unaotaoka kwenye chungu unakufikia na mhusika kuanza kutoa jasho jingi. Wazungu wameiboresha lakini na sisi waafrika tulikuwa na sauna yetu. Sauna ni tiba hasa ukitumia chapa shoka.
Hahaha nyungu ya mawe
 
Back
Top Bottom