Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Hiyo siyo hadithi ni jambo la kweli kabisa limemtokea Jirani yangu hapa nyakato mwanza
Kaishi na mwanamke wa jamii ya wakulya mwaka wa nane huu wakizaa watoto wawili
" Mkewe" majuzi tu ndo kamjuza ili atambulike rasmi na awe na haki zote ikiwamo Watoto walozaa yafaa akamuone mumewe wa ndoa yule ambaye alitoa mahari ya ng'ombe 15 kwa wazazi wakati wa ndoa yao
Kwamba akishamuona mumewe huyo waliyetengana naye miaka kadhaa amuombe kumrudishia mahari yake ya ng'ombe 15 aliyotoa wakati wa ndoa
Kwamba mumewe huyo ambaye kikazi ni mjeda akikubali tu upokea ng'ombe hao basi kuanzia hapo huyo jamaa atahesabika kuwa MUME halali wa ndoa wa mwanamke huyo!
Jamaa huyo kaniomba ushauri nikasema siyo mbaya nikiwashirikisha ndugu zangu wa jamii forum
Niwatakie siku njema
Hiyo siyo hadithi ni jambo la kweli kabisa limemtokea Jirani yangu hapa nyakato mwanza
Kaishi na mwanamke wa jamii ya wakulya mwaka wa nane huu wakizaa watoto wawili
" Mkewe" majuzi tu ndo kamjuza ili atambulike rasmi na awe na haki zote ikiwamo Watoto walozaa yafaa akamuone mumewe wa ndoa yule ambaye alitoa mahari ya ng'ombe 15 kwa wazazi wakati wa ndoa yao
Kwamba akishamuona mumewe huyo waliyetengana naye miaka kadhaa amuombe kumrudishia mahari yake ya ng'ombe 15 aliyotoa wakati wa ndoa
Kwamba mumewe huyo ambaye kikazi ni mjeda akikubali tu upokea ng'ombe hao basi kuanzia hapo huyo jamaa atahesabika kuwa MUME halali wa ndoa wa mwanamke huyo!
Jamaa huyo kaniomba ushauri nikasema siyo mbaya nikiwashirikisha ndugu zangu wa jamii forum
Niwatakie siku njema