Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaa visiwani au tanzania bara ?Mwanaume ana 28, na anajihusisha na biashara. Kuhusu kumtunza sina shaka naye hilo ataliweza vyema..! Ila wasi wasi ni serikali hawawezi kuleta shida kwa kuruhusu binti aliyefaulu kuolewa?
Kwa nini usiongee na huyo mtu wake? Ukamshawishi avute muda, binti hatakuwa na jinsi. Ila itabidi aende chuo, apate ujuzi wowote na baada ya miaka 2 au 3 aingie ndoani.Wakuu habari za wakati.....!
Unaambiwa kwa mwenzako sikia ila omba yasikukute, Mimi yamenikuta na ni kitu ambacho sikuwaza.....! Iko hivi
Nina mwanangu wa kike kamaliza kidato cha nne mwaka huu kafaulu vizuri kwa div 1 kali tu...! Lakini cha ajabu amegoma kata kata kwenda shule akidai anataka kuolewa, na amemleta huyo mchumba hadi nyumbani ili taratibu zingine zifuate.
Sasa wakuu nimeshauri na kumsihi sana aachane na mawazo hayo azingatie masomo lakini imeshindikana....!
Na hasa ukizingatia ni mtoto wa kike, nimeona haina haja ya kumlazimisha sana kitu ambacho hataki..! Maana hata nikimzuia ipo Siku ataolewa tu....! Ngoja nimuache aende kupambana kwa alichokiamua...!
Ila wasi wasi wangu kama nikiamua kukubali kumuoza vipi siwezi kuchukuliwa hatua kwa kuruhusu aolewe akiwa amefaulu? Na ndo kwanza ana miaka 18, namuona bado mdogo kuingia kwenye ndoa...! Nashangaa ujasiri wa kulazimisha kuolewa kautoa wapiii....!
Sheria inasemaje kuhusu msichana aliyemaliza kidato cha nne akaamua kwa hiari asiendelee na shule, na kuamua kuolewa? Ushauri wenu muhimu sana wakuuu
Kumbe wewe unataka mwanao aolewe..na ukute kajamaa kana hela..mbona unashabikia serikali serikali..wewe km.kweli ni baba huna maamuzi km.mzazi..yn usomeshe hlf aishie kuolewa udogoni...Mwanaume ana 28, na anajihusisha na biashara. Kuhusu kumtunza sina shaka naye hilo ataliweza vyema..! Ila wasi wasi ni serikali hawawezi kuleta shida kwa kuruhusu binti aliyefaulu kuolewa?
Hata mimi hapo amenishangaza jaman mmmhKumbe wewe unataka mwanao aolewe..na ukute kajamaa kana hela..mbona unashabikia serikali serikali..wewe km.kweli ni baba huna maamuzi km.mzazi..yn usomeshe hlf aishie kuolewa udogoni...
Sio bure huyo mkwe ana walisha hapo kwako
Mtt nizae mwenyewe anishinde maamuzi[emoji849]
Au hii ni chai...
Duuh, Mungu atupe hekima sana, huyo mtoto anapaswa kusaidiwa ili aendelew na masomo, msiue ndoto zake kwa kumruhusu kuolewa, akigoma sana peleka hata jeshini akili ikomaeWakuu habari za wakati.....!
Unaambiwa kwa mwenzako sikia ila omba yasikukute, Mimi yamenikuta na ni kitu ambacho sikuwaza.....! Iko hivi
Nina mwanangu wa kike kamaliza kidato cha nne mwaka huu kafaulu vizuri kwa div 1 kali tu...! Lakini cha ajabu amegoma kata kata kwenda shule akidai anataka kuolewa, na amemleta huyo mchumba hadi nyumbani ili taratibu zingine zifuate.
Sasa wakuu nimeshauri na kumsihi sana aachane na mawazo hayo azingatie masomo lakini imeshindikana....!
Na hasa ukizingatia ni mtoto wa kike, nimeona haina haja ya kumlazimisha sana kitu ambacho hataki..! Maana hata nikimzuia ipo Siku ataolewa tu....! Ngoja nimuache aende kupambana kwa alichokiamua...!
Ila wasi wasi wangu kama nikiamua kukubali kumuoza vipi siwezi kuchukuliwa hatua kwa kuruhusu aolewe akiwa amefaulu? Na ndo kwanza ana miaka 18, namuona bado mdogo kuingia kwenye ndoa...! Nashangaa ujasiri wa kulazimisha kuolewa kautoa wapiii....!
Sheria inasemaje kuhusu msichana aliyemaliza kidato cha nne akaamua kwa hiari asiendelee na shule, na kuamua kuolewa? Ushauri wenu muhimu sana wakuuu
Ukija kuzinduka unakuja kushtuka kumbe mleta mada ndio huyo kijana anaetaka kuoa binti wa form 4 ila kaileta hii story kwa style ya kupindua meza ili ajithibitishie kama anachofanya ni kosa kisheria au la?Kumbe wewe unataka mwanao aolewe..na ukute kajamaa kana hela..mbona unashabikia serikali serikali..wewe km.kweli ni baba huna maamuzi km.mzazi..yn usomeshe hlf aishie kuolewa udogoni...
Sio bure huyo mkwe ana walisha hapo kwako
Mtt nizae mwenyewe anishinde maamuzi[emoji849]
Au hii ni chai...