Ushauri: Kama una mke au binti nyumbani kwako mshauri aache tabia ya kuposti picha zake mtandaoni

Ushauri: Kama una mke au binti nyumbani kwako mshauri aache tabia ya kuposti picha zake mtandaoni

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kutokana na ukosefu wa ajira vijana wengi wamejiingiza kwenye biashara ya utapeli wa kimapenzi.

Ni vijana wa kiume kabisa wanatengeneza account Facebook, Instagram na Whatsapp wakijifanya mabinti.
Hutumia majina ya kike na kupakia picha mbalimbali za wanawake.

Jamii haiwezi kuielewa, siku jirani yako akiona mke wako au dada yako anauza malighafi mtandaoni atajua ni yeye kwa 100% , hajui kuwa ni vijana wa kiume wanajifanyia upatu kwa kutumia picha za mabinti kulaghai wanaume.

Mkienda deep mpaka video za ngono anakutumia akijifanya binti kumbe kazichota mtandaoni.

Sasa hivi hii biashara ya kuuziana video za utupu inalipa sana , unfortunately vijana wa kiume ndio huifanya sana.
Be careful binti, achana na mambo ya kujitupia picha mtandaoni. Waoaji wako kazini kwako, kanisani kwako, mtaani kwako.
 
Kutokana na ukosefu wa ajira vijana wengi wamejiingiza kwenye biashara ya utapeli wa kimapenzi.
Ni vijana wa kiume kabisa wanatengeneza account Facebook, Instagram na Whatsapp wakijifanya mabinti.
Hutumia majina ya kike na kupakia picha mbalimbali za wanawake.
Jamii haiwezi kuielewa, siku jirani yako akiona mke wako au dada yako anauza malighafi mtandaoni atajua ni yeye kwa 100% , hajui kuwa ni vijana wa kiume wanajifanyia upatu kwa kutumia picha za mabinti kulaghai wanaume.
Mkienda deep mpaka video za ngono anakutumia akijifanya binti kumbe kazichota mtandaoni.
Sasa hivi hii biashara ya kuuziana video za utupu inalipa sana , unfortunately vijana wa kiume ndio huifanya sana.
Be careful binti, achana na mambo ya kujitupia picha mtandaoni. Waoaji wako kazini kwako, kanisani kwako, mtaani kwako.
Uko sahihi hasa kwa Tanzania. Wengi wanafungua account na kuziacha kuwa public hivyo kuwezesha watu kuchukuwa picha zao na kuzitumia kwa malengo mengine. Na pia kuna ujinga wa ku-accept kila anayeleta ombi la urafiki. Hili linafanya wasichana wawe victims wa picha zao kutumika kufikisha ujumbe wa kuwadhalilisha. Unaweza kukuta mtu anachukuwa picha ya msichana halafu anafungua account fake na kupost ile picha huku akiuliza mambo kama ''nikikupa utamaliza vingapi''? au ''kama ningekuwa kinywaji unganiita jina gani'' etc. Na hata wanaume wengine hasa wazee wenye mapengo au vilema vingine picha zao zinatumika kama vichekosho au vibwagizo. Jihadharini sana kuchagua mnapost picha gani na nina atakuwa na access nazo.
 
Kutokana na ukosefu wa ajira vijana wengi wamejiingiza kwenye biashara ya utapeli wa kimapenzi.
Ni vijana wa kiume kabisa wanatengeneza account Facebook, Instagram na Whatsapp wakijifanya mabinti.
Hutumia majina ya kike na kupakia picha mbalimbali za wanawake.
Jamii haiwezi kuielewa, siku jirani yako akiona mke wako au dada yako anauza malighafi mtandaoni atajua ni yeye kwa 100% , hajui kuwa ni vijana wa kiume wanajifanyia upatu kwa kutumia picha za mabinti kulaghai wanaume.
Mkienda deep mpaka video za ngono anakutumia akijifanya binti kumbe kazichota mtandaoni.
Sasa hivi hii biashara ya kuuziana video za utupu inalipa sana , unfortunately vijana wa kiume ndio huifanya sana.
Be careful binti, achana na mambo ya kujitupia picha mtandaoni. Waoaji wako kazini kwako, kanisani kwako, mtaani kwako.
Wanawake wengi inawa cost sana hii

Ova
 
Wanawake wengi inawa cost sana hii

Ova
Dah wameshachelewa ilikua hili liwekwe kwa mjumbe tokea 1996 mpk sasa saver ya Google kule maryland US ishashiba picha zake kila siku mtu asbh ana pandisha status how comes ashituke leo na hapo secondary chuo kwa daladala kwa nyumba nzur ya ndg rack jirani hapo hajapiga makalio sijui tiktok aisee kaz wanayo na kweli waowaj wapo humo ulimotaja
 
Tumeshaipata picha ya huyu
IMG_0612.jpeg
 
Kutokana na ukosefu wa ajira vijana wengi wamejiingiza kwenye biashara ya utapeli wa kimapenzi.
Ni vijana wa kiume kabisa wanatengeneza account Facebook, Instagram na Whatsapp wakijifanya mabinti.
Hutumia majina ya kike na kupakia picha mbalimbali za wanawake.
Jamii haiwezi kuielewa, siku jirani yako akiona mke wako au dada yako anauza malighafi mtandaoni atajua ni yeye kwa 100% , hajui kuwa ni vijana wa kiume wanajifanyia upatu kwa kutumia picha za mabinti kulaghai wanaume.
Mkienda deep mpaka video za ngono anakutumia akijifanya binti kumbe kazichota mtandaoni.
Sasa hivi hii biashara ya kuuziana video za utupu inalipa sana , unfortunately vijana wa kiume ndio huifanya sana.
Be careful binti, achana na mambo ya kujitupia picha mtandaoni. Waoaji wako kazini kwako, kanisani kwako, mtaani kwako.

Nishakutana na hii kitu mara kadhaa dume zima lina manyoya miguuni linajibebisha eti linaomba fweza alfu 20 likang'oe jino eti halijalala jana 😛 😛
 
Back
Top Bottom