Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Waswahili wanasema kama huwezi kuwapiga basi ungana nao ili nawe uanze kuwapiga maadui ambao awali mlikuwa marafiki.
Uza hata mashamba, achana na kufanya vitu visivyoleta tija.
Ukiingia serikalini umeula, yaani ni mwendo wa kula asali tu.
Box la peni serikalini linauzwa mpaka elfu 50, bunda la karatasi 60 mpaka laki.
Tofali ya kawaida tu inauzwa mpaka elfu 5.
Vijana uzeni mashamba yenu ya urithi someeni procurement.
Pambana upate ka degree inatosha unadubiri ajira, ikiwezekana kapange hata nyumba ya tope Dodoma ili uhudhurie usaili mara kwa mara , ndani ya miaka 2 lazima utapata kazi uanze kulamba asali
Waswahili wanasema kama huwezi kuwapiga basi ungana nao ili nawe uanze kuwapiga maadui ambao awali mlikuwa marafiki.
Uza hata mashamba, achana na kufanya vitu visivyoleta tija.
Ukiingia serikalini umeula, yaani ni mwendo wa kula asali tu.
Box la peni serikalini linauzwa mpaka elfu 50, bunda la karatasi 60 mpaka laki.
Tofali ya kawaida tu inauzwa mpaka elfu 5.
Vijana uzeni mashamba yenu ya urithi someeni procurement.
Pambana upate ka degree inatosha unadubiri ajira, ikiwezekana kapange hata nyumba ya tope Dodoma ili uhudhurie usaili mara kwa mara , ndani ya miaka 2 lazima utapata kazi uanze kulamba asali