Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

Kulamba asali ni agizo la serikali ya CCM👇😁😁😁
 
Akili ndogo utazijua!
Kuna watu wana degree za procurement leo wamejazana Halmashauri Nchini wanazunguka minadani kukusanya ushuru wa mbuzi minadani!
Kupiga pesa ni ukubwa wa akili yako na si ajira uliyo nayo!
 
Labda apate connection au awe na bahati yake ila bila hivo atasota sana tu.
Afadhali asoma kwa kupenda kuliko kisima ili aje apate ajira mana akikosa hizo stress zake sio za nchi hii.
 
Back
Top Bottom