Thubutuuuuu manunuzi yapi hayo, labda upate kazi huku tozoniani vinginevyo kwa wahindi ama wachina utajuta kuzaliwa , yani akupe wewe vitu vyake ukanunue , wale kila kitu wananunua wenyewe na kibaya zaidi wananunua kwa wenzao tu we mwenzangu na mimi itakula kwako huli hata mia, tafuta cha kufanya hasa biashara mambo ya sijui kutafuta ajira katika taasisi gani za umma ni kujichosha tu kwanza nafasi hamna, pili lazima uwe na connection na kadi ya chama kileeee , jikite kwenye business tu ndio kilichobakia mtakuja kunishukuru sana baadaye.