wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wakuu heshma zenu!!
Wakuu naombeni ushauri wenu!!
Jana wakati niko na shemeji yenu/wifi yenu tulienda kufanya shoping supermarket! Sasa wakati tuko mle ndani tukakutana na werembo wengine!!
Kusema na ukweli kuna mrembo mmoja alipita hata kama ni wewe lazma ungegeuza shingo maana upande wa 0713.
Nadhani muumba ulipapendelea sana!!sasa mimi nikageuza shingo kumtizama kumbe yule shemeji yenu ameshasogea mbele kama hatua 5 na mimi nilikuwa nimesimama naangalia ule mzigo.
Sasa yule shemeji yenu akaja speed na mkoba wake akanipiga nao kichwani mbele za watu akasema ""twende huko unashangaa nini"yaani wakuu nilijisikia aibu sana na isitoshe aliniumiza kichwa na mkoba wake ndani mle sijui aliweka vikopo gani maana kichwa kilivimba hadi leo sijaenda kazini, na tangu jana sijamwambia chochote anaanza kuniomba msamaha.
Wakuu nishaurini nimfanye nini!!
Wakuu naombeni ushauri wenu!!
Jana wakati niko na shemeji yenu/wifi yenu tulienda kufanya shoping supermarket! Sasa wakati tuko mle ndani tukakutana na werembo wengine!!
Kusema na ukweli kuna mrembo mmoja alipita hata kama ni wewe lazma ungegeuza shingo maana upande wa 0713.
Nadhani muumba ulipapendelea sana!!sasa mimi nikageuza shingo kumtizama kumbe yule shemeji yenu ameshasogea mbele kama hatua 5 na mimi nilikuwa nimesimama naangalia ule mzigo.
Sasa yule shemeji yenu akaja speed na mkoba wake akanipiga nao kichwani mbele za watu akasema ""twende huko unashangaa nini"yaani wakuu nilijisikia aibu sana na isitoshe aliniumiza kichwa na mkoba wake ndani mle sijui aliweka vikopo gani maana kichwa kilivimba hadi leo sijaenda kazini, na tangu jana sijamwambia chochote anaanza kuniomba msamaha.
Wakuu nishaurini nimfanye nini!!