Ushauri kati ya hizi gari wanajamvi

Bandarini c-class ni 7-9mil ambayo inalingana kabisa na Crown. labda gharama za maintanance nazo nadhani sio za kutisha.
 
Asante sana kaka, ushauri mzuri.
 
chukua crown though cjajua ya mwaka gani but kwa mazingira yetu ya tanzania utaweza kuimudu vizuri tu,ingawaje engine yake ni kubwa kidogo 2.5 V6 ila ulaji ni wa kawaida tu,crown ni luxurious ina power ya kutosha na spacious too..

kama ulivyosema hali ya sasa ngumu usichukue gari una ipark mahali roho inakuwa juu juu,coz spare part na maintanance ya benz iko juu.go for crown 212HP alternative yake ni mark x same engine ila body tofauti tu.
 
Tafuta BMW 7 series ya mwaka 2004 hebu, hao wote vikaragosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…