Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,360
Sure, vyote hivyo vina changamoto yake ni uamuzi na uchaguzi wa mtu tu!Ndio changamoto hizo za kiulinzi kwa kutumia vifaa badala ya mtu..(physical) hizo nyaya kama ni kutishia vibaka sawa..ila kamera za siri ndio mpango mzima.