Ushauri: Kati ya nyaya za umeme kuzunguka nyumba (electric fence) na kamera za ulinzi (CCTV camera) ipi inafaa kwa matumizi ya nyumbani?

Ushauri: Kati ya nyaya za umeme kuzunguka nyumba (electric fence) na kamera za ulinzi (CCTV camera) ipi inafaa kwa matumizi ya nyumbani?

You can’t compare the two, they are both needed, zina matumizi tofauti! Ya kwanza ni kumzuia na kumpa mhalifu ugumu wa kuingia kwako, na ya pili ni kumwona mwalifu!

Kama unakaa mahali pa Vibaka, then you do not need camera, go with fence, why? Utaishia kuangalia kwa cctv walevi, Mateja etc!

Zote ni muhimu kukamilisha usalama wa Nyumba ila kama unaanza na moja then inategemea na mazingira na kwa case yako nenda na fence !
Hapa umempa ushauri mzuri sana.
Ila nataka niongezee kitu kimoja hapa.
Kuna system fulani hivi ambazo huwa zinategeshwa milangoni na mwizi akivunja au kufungua alarm inatoa sauti kama ya king'ora na pia simu yako inakuwa inaita kukupa ishara kuwa wezi wameingia.
Hii kidogo inaweza kusaidia kuwatisha wahalifu washindwe kuiba ila hizo za cctv camera wakificha sura basi huna uwezo wa kuwakamata
 
Sio rahisi hivyo ndugu yangu, watu wanaweza vaa mask utawaonaje? wengine unaweza ona sura na kuwapata usiwapate, mi nadhani electric fence is the best hata kutishia tishia tu vibaka wadogo wadogo!
Nimewaza kama wewe mkuu huu ndio ukweli wenyewe
 
Cctv na Electric fence vyote ni muhimu kwa ajiri ya ulinzi wa kisasa
CCTV
Tatizo litakuja kuwa tayari umeshaibiwa na ukafanya playback na kuwaona walioiba na sura zao zikaonekana vizuri kabisa.changamoto inakuja kwenye kuwapata hao watu huo ndo mtihani mkubwa
FENCE
Hii inawatisha wezi na vibaka na wao wanatambua mfumo huo. wanaweza kufunika zile waya za umeme kwa magunia na wakaweka ngazi na kuingia ndani na wakafanya yao. Njia ya pili wanaweza kutoboa ukuta na kuingia ndani. Hivyo mifumo hiyo ya ulinzi Ina ubora wake na mapungufu yake.

Kwa ushauri wangu kama unasmart TV ambazo vibaka wengi ndo wanazipenda funga TV gps tracker kwenye tv yako and relax. Siku ikiibiwa we riport polisi.na anza kazi ya kuitrack tv yako kupita application kwenye Simu yako. Na utakaye mkamata na TV yako huyo ndo utazaa nae

Ukitaka huduma ya kufungiwa TV Gps tracker tuwasiliane
 
Kama uchumi mdogo tumia motion sensors ila tega vizuri hata paka akipita au mbwa alarm italia
 
Hapa umempa ushauri mzuri sana.
Ila nataka niongezee kitu kimoja hapa.
Kuna system fulani hivi ambazo huwa zinategeshwa milangoni na mwizi akivunja au kufungua alarm inatoa sauti kama ya king'ora na pia simu yako inakuwa inaita kukupa ishara kuwa wezi wameingia.
Hii kidogo inaweza kusaidia kuwatisha wahalifu washindwe kuiba ila hizo za cctv camera wakificha sura basi huna uwezo wa kuwakamata
Huo mfumo kwa lugha ya kizungu unaitwa intruder alarm system kama Kuna mtu anaitaji mfumo huo tafadhali tuwasiliane
 
Funga camera hikvision ndio mpango japo bei kidogo
 
yes ndio hiyo intruder alarm system ni rahisi kuwakamata wezi kama wataendelea na zoezi la kuiba usalama wao ni kukimbia muda huo huo
Huo mfumo kwa lugha ya kizungu unaitwa intruder alarm system kama Kuna mtu anaitaji mfumo huo tafadhali tuwasiliane
 
Cctv na Electric fence vyote ni muhimu kwa ajiri ya ulinzi wa kisasa
CCTV
Tatizo litakuja kuwa tayari umeshaibiwa na ukafanya playback na kuwaona walioiba na sura zao zikaonekana vizuri kabisa.changamoto inakuja kwenye kuwapata hao watu huo ndo mtihani mkubwa
FENCE
Hii inawatisha wezi na vibaka na wao wanatambua mfumo huo. wanaweza kufunika zile waya za umeme kwa magunia na wakaweka ngazi na kuingia ndani na wakafanya yao. Njia ya pili wanaweza kutoboa ukuta na kuingia ndani. Hivyo mifumo hiyo ya ulinzi Ina ubora wake na mapungufu yake.

Kwa ushauri wangu kama unasmart TV ambazo vibaka wengi ndo wanazipenda funga TV gps tracker kwenye tv yako and relax. Siku ikiibiwa we riport polisi.na anza kazi ya kuitrack tv yako kupita application kwenye Simu yako. Na utakaye mkamata na TV yako huyo ndo utazaa nae

Ukitaka huduma ya kufungiwa TV Gps tracker tuwasiliane
Hii imekaa poa sana kiaina!
 
You can’t compare the two, they are both needed, zina matumizi tofauti! Ya kwanza ni kumzuia na kumpa mhalifu ugumu wa kuingia kwako, na ya pili ni kumwona mwalifu!

Kama unakaa mahali pa Vibaka, then you do not need camera, go with fence, why? Utaishia kuangalia kwa cctv walevi, Mateja etc!

Zote ni muhimu kukamilisha usalama wa Nyumba ila kama unaanza na moja then inategemea na mazingira na kwa case yako nenda na fence !
In security industry we have 3D's; The first D stands for Denial eg wall and electric fence the second one for Detection eg CCTV and dog and the third one for Deterence eg security guard, wall/fence, CCTV, etc
 
Salaam wadau.

Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV.

Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?
Funga senyenge juu y ukutaCCTV haiwez saidia kitu
 
Tatizo la wezi wana roho mbaya sana kuhusu maendeleo ya watu wengine, hata kama anaelewa option bora ya kuanza nayo kukwamisha wezi, hawawezi sema.

Kuna members wa Jf humu ni wezi na majambazi, hapa tunabangua bongo lakini hawatusaidii hata kutia mawazo na mbinu zitakazotusaidia wanachama wenzao kujihami!

Wapo mkutuchora tu, wanasoma na kupita kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom