GISAMBO
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,195
- 1,933
Wewe icho kigari cha mizigo kibayaaInapatikana kwa bei hiyo niliyonayo.
Yani kibaya labda tax akifai kutembelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe icho kigari cha mizigo kibayaaInapatikana kwa bei hiyo niliyonayo.
Hiyo 11 inatosha kbs, mpaka kukatia comprehensive insurance.Vp bei?
Brevis gari nzuri sana kwa safari ndefu, ila mafuta utalia. Dar Mbeya unateleza tuSi unataka safari ndefu yenye uhakika chukua Brevis Cc 3000 mkuu Mwanza unsgusa tuu yaani king of the road
Gari kama brevis sio ya kuringa nayo misele ya town,pia linapokuja suala la service na kui manage ni story nyingine tumeponea tu road licence ingawa haina unafuu kivile..kwangu mimi ni gari zaidi ya anasaJini kivipi?....ndoto yangu hiii
Raum kwa bajeti yako hiyo ya 11m unapata mpya kabisa ref...used in JPN new in Tz,na ukitaka kuifaidi kama una mawakala wa kuagiza magari kwa bei nafuu tafuta ya low mileage hutakaa kujutia hiyo gariVp bei?
Thanx mdauRaum kwa bajeti yako hiyo ya 11m unapata mpya kabisa ref...used in JPN new in Tz,na ukitaka kuifaidi kama una mawakala wa kuagiza magari kwa bei nafuu tafuta ya low mileage hutakaa kujutia hiyo gari
Afu ukute hata ringi ya baiakeli hana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anazingua
Yeees wewe umenena vyema angechukua Corrola Spacio hii mpya inayofanana na Raum ni gari yenye space kubwa pia mafuta ninkawaida sanaRaum naichukia Ule mlango ila mengine iko safi, naipenda pia Corolla spacio new model
Kumbukeni na bajeti piaYeees wewe umenena vyema angechukua Corrola Spacio hii mpya inayofanana na Raum ni gari yenye space kubwa pia mafuta ninkawaida sana
BE FORWARD : 2005 TOYOTA Raumje ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?
Kwa hiyo M11 napata Nissan Extrail kwenye tope nazama,, hizo mnazojadili kwenye tope mtazibeba huku na hukoVp bei?
Brevis unaweza kupata kwa kiasi hicho cha fedha alicho nacho? Na vipi ulaji wake wa mafuta?Mkuu hata Mimi BREVIS naipenda sana,ila jamaa haitamfaa kwa town,yeye anasema anaruti mbili tu,so haitamfaa bora achukue RAUM
[emoji23] kwanini mkuu?Brevis ni jini
Kivipi mkuu?Brevis ni jini boss asikudanganye mtu
Si unataka safari ndefu yenye uhakika chukua Brevis Cc 3000 mkuu Mwanza unsgusa tuu yaani king of the road
Kapicha tafathali nami nahitaji raum new modelRaum model 2008 ipo comfortable sana,body design,ndani na nje ,fuel consumption ipo poa sana hili toleo ingawa Raum ni Raum lakini kwa toleo hili naona ipo tofauti kidogo