Mimi nilisoma mtwara, kozi ya record ilikuwa na wanafunzi wengi kutokana na urahisi wake.
Akisoma iyo anaenda kuwa mtunza kumbukumbuku masijala za ofisi mbalimbali pia ni ngumu kupata course chuo kikuu
Hizo namba zao watakusaidia.Nina dogo kachaguliwa mtwara human resource, naomba unisaidie ndugu abc za nini kinahitajika hasa ada au join instruction kama unayo.
Hizo namba zao watakusaidia.View attachment 1807848
Hanaga kinachomuudhiBro naomba kuuliza. Hivi wewe hunaga kabisa opinions au ushauri kwenye threads humu zaidi ya comments kama hizi kila unapochangia?
Don't take it personal.
Simpaka apate nafasi maana competition ya waombaji ipoKwa ushauri wangu aachane na hiyo kozi akasome Advance five na six aje chuo Cha taifa Cha usafirishaji Kuna kozi mpya na zipo marketable . shipping operational na road and a railway in logistic and Transport Operation ndo zimaenza mwaka2020.hkl,hgk,cbg NK wanasoma hiyo kozi Mimi nipo mwaka wa kwanza hapa na Nina Soma road and railway degree apa .na enjoy inshort hizo kozi nyengne hazina mashiko kwasasa.sasa kutunza kumbukumbu.si hata computer inatunza.[emoji23]
muache dharauAlitaka asome nini na hizo HGK Na HGL
Yeye mwenyewe akwambie ukishapata majibu basi mfanikishieni dhamira yake
Hizo namba zao watakusaidia.View attachment 1807848
Amen tubarikiwe sote.Nimefanikiwa kuwasiliana nao ubarikiwe[emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora wewe mkuu dogo apa na 3 ya kwanza, katupiwa chuo TPSC Tanga course secretarial na ni wa kiume.
Nilimaliza 2016 mkuu, ila vitu vichache tu vya kujiandaa ni kuwa hakuna hostel karibu ba chuo, kuna umbali mrefu sana, either apande boda ambayo ni buku,Nina dogo kachaguliwa mtwara human resource, naomba unisaidie ndugu abc za nini kinahitajika hasa ada au join instruction kama unayo.
Coca unapenda kucheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina dogo kachaguliwa mtwara human resource, naomba unisaidie ndugu abc za nini kinahitajika hasa ada au join instruction kama unayo.
Nilimaliza 2016 mkuu, ila vitu vichache tu vya kujiandaa ni kuwa hakuna hostel karibu ba chuo, kuna umbali mrefu sana, either apande boda ambayo ni buku,
Hostel ni laki mbili kwa semister zinamilikiwa na watu binafsi, zilizopo karibu ni hostel za wanawake zinazomilikiwa na stella marris ambazo ni bei
Kuhusu ada ni kawaida unalipa kwa awamu na iyo course ndio nilisoma wako vizuri hasa Hr na course ya secretary.
Na kwa sasa director wa pale ni mwanamama Agness murahaba yuko vizuri ni kama mlezi na sio mkuu wa chuo tu
Muhimu awe na suti za rangi ya dark blue,na black na mashati rangi nyeupe na cream au blue bahari.
Kuhusu join instruction sina mkuu ila ukihitaji namba za staff wa pale nitakusaidia.
Nilimaliza 2016 mkuu, ila vitu vichache tu vya kujiandaa ni kuwa hakuna hostel karibu ba chuo, kuna umbali mrefu sana, either apande boda ambayo ni buku,
Hostel ni laki mbili kwa semister zinamilikiwa na watu binafsi, zilizopo karibu ni hostel za wanawake zinazomilikiwa na stella marris ambazo ni bei
Kuhusu ada ni kawaida unalipa kwa awamu na iyo course ndio nilisoma wako vizuri hasa Hr na course ya secretary.
Na kwa sasa director wa pale ni mwanamama Agness murahaba yuko vizuri ni kama mlezi na sio mkuu wa chuo tu
Muhimu awe na suti za rangi ya dark blue,na black na mashati rangi nyeupe na cream au blue bahari.
Kuhusu join instruction sina mkuu ila ukihitaji namba za staff wa pale nitakusaidia.
Hayo makozi ya shipping nimesa hapo NIT intake ya 4 hakuna cha ajira wala nini Achana nayoo
Kumbe ndio tabia yake?Bro naomba kuuliza. Hivi wewe hunaga kabisa opinions au ushauri kwenye threads humu zaidi ya comments kama hizi kila unapochangia?
Don't take it personal.