Ushauri: Kila anayeonyesha Pesa zake mitandaoni serikali imtake aonyeshe na kodi aliyotoa

Ushauri: Kila anayeonyesha Pesa zake mitandaoni serikali imtake aonyeshe na kodi aliyotoa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kama mtu amepata ujasiri wa kuonyesha maburungutu ya pesa mitandaoni, huku aonyeshi chanzo halali cha pesa hizo serikali isikalie hilo jambo kimya.

Angalau watakwe kufanyiwa tax clearance wapewe doc ya kujipata na pesa mitandaoni. Hiyo itathibitisha ni pesa halali na huyo mtu anafaa kutumikq kama mhamasishaji wa maisha na kujituma katika taifa.

Tukiendelea kuona kama ni kitu cha kawaida, tutajikuta tumetengeneza vijana waliokata tamaa, wanaohamasishwa kilaghai, na watakaochoka mapema kutafuta pesa halali.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
 
Kama mtu amepata ujasiri wa kuonyesha maburungutu ya pesa mitandaoni, huku aonyeshi chanzo halali cha pesa hizo serikali isikalie hilo jambo kimya.

Angalau watakwe kufanyiwa tax clearance wapewe doc ya kujipata na pesa mitandaoni. Hiyo itathibitisha ni pesa halali na huyo mtu anafaa kutumikq kama mhamasishaji wa maisha na kujituma katika taifa.


Tukiendelea kuona kama ni kitu cha kawaida, tutajikuta tumetengeneza vijana waliokata tamaa, wanaohamasishwa kilaghai, na watakaochoka mapema kutafuta pesa halali.


Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.

 
Back
Top Bottom