Ushauri: Kila fursa nikijaribu Wazazi wanasema sio hadhi yangu, sasa nipo nyumbani nafokewa kuwa sitafuti kazi

Ushauri: Kila fursa nikijaribu Wazazi wanasema sio hadhi yangu, sasa nipo nyumbani nafokewa kuwa sitafuti kazi

Joined
Apr 11, 2022
Posts
29
Reaction score
75
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote

Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali).

Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu.

Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia.

Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
 
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali). Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu. Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia. Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
 
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote

Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali).

Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu.

Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia.

Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
Ungekua mtoto wa kiume ningekushauri umtie mimba house gel mzee akuheshimu. Sasa wewe wa kike nakushauri Anza kuuza vipodozi, utatoka.
 
Hao wazazi kwani hawajui kuwa soko la ajira limekufa.

Hao watakusumbua sana siyo waaelewa,

Omba tu Mungu akufungulie milango upate ajira au upate mume mwe

Hao wazazi kwani hawajui kuwa soko la ajira limekufa.

Hao watakusumbua sana siyo waaelewa,

Omba tu Mungu akufungulie milango upate ajira au upate mume mwema atakayekupenda
asante sana!
 
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote

Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali).

Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu.

Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia.

Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
Huu uzi ni mfupi sana kwahiyo hukupaswa kuomba sorry. Nyuzi ndefu zipo SoC huko.

Back to topic ...jaribu kutufunua ni kazi gani hizo ambazo wanasema sio hadhi yako ili tuanze kutiririka na ushauri
 
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote

Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali).

Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu.

Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia.

Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
Wazazi tuna mambo. Nakuomba UTUSIKILIZE lakini TUSIKUPANGIE MAISHA.
BE A REBEL. All the best
 
Mm baada ya kupeteza ajira nikarejea kijijn kwetu nikaanza chapu kujiingiza ktk biashara za mbao eti broo ananimbia kila biashara unafanya nilimuona waa ajbu kweli wakt kipindi hicho natengeneza pesa vzr tu


Wakt fln bint mmoja nilikuwa nafanya Kaz na Bab ake aliweza kuhitimu mzumbe shahada ya marketing bas wakt wakutafyta ajira akabidi aanze kwa kuuza manukato kutembeza ktk ofc Bab ake ambaye Ni bos wangu aliona mtot kuwa wake anafamya Kaz za ajbu ajabu akalaumu Sana utawal wa nnchi hi ndipo yule bint akautana na mwanaume mmoja ambaye HV sas ndie aliyemuoa alikutana nae ktk kuuza manukato

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote

Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali).

Lakini cha kushangaza mimi nimeridhika kwa sababu nafanya napata hela ya kujikimu mfano mahitaji madogo madogo ya kike na pia naweka akiba. Kikwazo ni kufanya hizo fursa nashindwa kuelewa mana niliacha ikabidi nikae nyumbani cha ajabu nimekuwa nafokewa kwamba sitafuti kazi na sio kwamba mimi sitafuti kazi kama mnavojua soko la ajira lilivo gumu.

Sasa nipo njia panda naombeni mnisaidie mwongozo wa kukabiliana na jambo hili na imani kabisa mtanisaidia.

Sorry kwa uzi mferu natanguliza shukrani zangu
Ungekuwa wa kiume ningekushauri kitu,ila unatumia simu ya aina gani kwanza tuanzie hapo
 
Huu uzi ni mfupi sana kwahiyo hukupaswa kuomba sorry. Nyuzi ndefu zipo SoC huko.

Back to topic ...jaribu kutufunua ni kazi gani hizo ambazo wanasema sio hadhi yako ili tuanze kutiririka na ushauri
Nilipata kazi ya ualimu english medium kwa mkataba..baada ya kuambiwa ya ajab bas nkahamia kuwa msusi mana pia nafaham japo sio sana..Nlipata fursa na group moja uku mtaani linalojihusisha na kutengeneza sabuni hizi za usafi..Ni hizo tu
 
Back
Top Bottom