Ushauri: kuanzisha mji wangu katika mkoa wa Mwanza

Ushauri: kuanzisha mji wangu katika mkoa wa Mwanza

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, naombeni ushauri wenu, kwa sasa nipo kwenye ili jiji la chalamila jua na mvua vyote ni vyangu.

Katika tafakuri zangu za maisha nimepata wazo moja ambalo nahisi linaweza kunisaidia kwenye siku za usoni, nataka kuanzisha mji wangu mimi mwenyewe katika mkoa wa MWANZA.

Mimi sio mwenyeji wa mwanza (sijawahi kuishi mwanza), ila mama yangu ni msukuma na baba yangu marehemu ni mkurya. ila maisha yangu yote nimezaliwa na kukulia mkoa wa DAR ES SALAAM.

Maswali yangu:
1. Ni eneo gani (kata, wilaya, kitongoji) ndani ya mkoa wa mwanza kwenye Hali ya hewa nzuri na ya kupendeza ambapo naweza kupata eneo nzuri angalu HEKA 1

2. Naweza kupanda miti gani ikazunguka eneo langu lote, migomba ina support? na miti mingine ya matunda?

3. Ni eneo gani ambalo naweza kuishi bila shida yeyote ile, ukiachana na mambo ya kishirikina ambayo naambiwa yamepamba sana moto ndani ya mkoa wa mwanza na wilaya zake?

Nime_plan mpaka nikifikisha umri wa miaka 45 niweze kurudi kwneye huo mji wangu ambao ntakuwa nimeuandaa vyema. Kwa sasa nina umri wa miaka 32, naendelea kupambania ndoto zangu hapa DSM
 
Tafuta milioni tisini ,nikupe kiwanja Cha babu Kapri point mkuu .

Note:ni heka mbili lakini kina kila aina ya matunda na wigo wa kisasa

Nina hati na Mimi ndiye mjukuu niliyebaki ninayejielewa hivyo njoo nikupe kwa Bei ya bure ufurahie maisha
 
Tafuta milioni tisini ,nikupe kiwanja Cha babu Kapri point mkuu .

Note:ni heka mbili lakini kina kila aina ya matunda na wigo wa kisasa

Nina hati na Mimi ndiye mjukuu niliyebaki ninayejielewa hivyo njoo nikupe kwa Bei ya bure ufurahie maisha
shukrani sana mkuu, iyo pesa sina kwa sasa.
 
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, naombeni ushauri wenu, kwa sasa nipo kwenye ili jiji la chalamila jua na mvua vyote ni vyangu.

Katika tafakuri zangu za maisha nimepata wazo moja ambalo nahisi linaweza kunisaidia kwenye siku za usoni, nataka kuanzisha mji wangu mimi mwenyewe katika mkoa wa MWANZA.

Mimi sio mwenyeji wa mwanza (sijawahi kuishi mwanza), ila mama yangu ni msukuma na baba yangu marehemu ni mkurya. ila maisha yangu yote nimezaliwa na kukulia mkoa wa DAR ES SALAAM.

Maswali yangu:
1. Ni eneo gani (kata, wilaya, kitongoji) ndani ya mkoa wa mwanza kwenye Hali ya hewa nzuri na ya kupendeza ambapo naweza kupata eneo nzuri angalu HEKA 1

2. Naweza kupanda miti gani ikazunguka eneo langu lote, migomba ina support? na miti mingine ya matunda?

3. Ni eneo gani ambalo naweza kuishi bila shida yeyote ile, ukiachana na mambo ya kishirikina ambayo naambiwa yamepamba sana moto ndani ya mkoa wa mwanza na wilaya zake?

Nime_plan mpaka nikifikisha umri wa miaka 45 niweze kurudi kwneye huo mji wangu ambao ntakuwa nimeuandaa vyema. Kwa sasa nina umri wa miaka 32, naendelea kupambania ndoto zangu hapa DSM
Njoo Cappripoint patakufaa...andaa sio chini ya Billion Moja utapata shamba la kutosha kulima miti na ndizi..
 
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, naombeni ushauri wenu, kwa sasa nipo kwenye ili jiji la chalamila jua na mvua vyote ni vyangu.

Katika tafakuri zangu za maisha nimepata wazo moja ambalo nahisi linaweza kunisaidia kwenye siku za usoni, nataka kuanzisha mji wangu mimi mwenyewe katika mkoa wa MWANZA.

Mimi sio mwenyeji wa mwanza (sijawahi kuishi mwanza), ila mama yangu ni msukuma na baba yangu marehemu ni mkurya. ila maisha yangu yote nimezaliwa na kukulia mkoa wa DAR ES SALAAM.

Maswali yangu:
1. Ni eneo gani (kata, wilaya, kitongoji) ndani ya mkoa wa mwanza kwenye Hali ya hewa nzuri na ya kupendeza ambapo naweza kupata eneo nzuri angalu HEKA 1

2. Naweza kupanda miti gani ikazunguka eneo langu lote, migomba ina support? na miti mingine ya matunda?

3. Ni eneo gani ambalo naweza kuishi bila shida yeyote ile, ukiachana na mambo ya kishirikina ambayo naambiwa yamepamba sana moto ndani ya mkoa wa mwanza na wilaya zake?

Nime_plan mpaka nikifikisha umri wa miaka 45 niweze kurudi kwneye huo mji wangu ambao ntakuwa nimeuandaa vyema. Kwa sasa nina umri wa miaka 32, naendelea kupambania ndoto zangu hapa DSM
Tafuta maeneo njía ya misungwi ndani ndani au uvuke ziwa Kamanga/Busisi.huko utapata maeneo tulivu
 
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, naombeni ushauri wenu, kwa sasa nipo kwenye ili jiji la chalamila jua na mvua vyote ni vyangu.

Katika tafakuri zangu za maisha nimepata wazo moja ambalo nahisi linaweza kunisaidia kwenye siku za usoni, nataka kuanzisha mji wangu mimi mwenyewe katika mkoa wa MWANZA.

Mimi sio mwenyeji wa mwanza (sijawahi kuishi mwanza), ila mama yangu ni msukuma na baba yangu marehemu ni mkurya. ila maisha yangu yote nimezaliwa na kukulia mkoa wa DAR ES SALAAM.

Maswali yangu:
1. Ni eneo gani (kata, wilaya, kitongoji) ndani ya mkoa wa mwanza kwenye Hali ya hewa nzuri na ya kupendeza ambapo naweza kupata eneo nzuri angalu HEKA 1

2. Naweza kupanda miti gani ikazunguka eneo langu lote, migomba ina support? na miti mingine ya matunda?

3. Ni eneo gani ambalo naweza kuishi bila shida yeyote ile, ukiachana na mambo ya kishirikina ambayo naambiwa yamepamba sana moto ndani ya mkoa wa mwanza na wilaya zake?

Nime_plan mpaka nikifikisha umri wa miaka 45 niweze kurudi kwneye huo mji wangu ambao ntakuwa nimeuandaa vyema. Kwa sasa nina umri wa miaka 32, naendelea kupambania ndoto zangu hapa DSM
Machaguo ni mengi lakini magu,sengerema,na missungwi itakufaa sana
 
Watu wanapenda kusasambua tu nyuzi za mapenzi
humu ukitaka michango wewe weka mambo ya udaku mapenzi kufatilia maisha ya wengine. hii ndo hali halisi ya jamii zetu.

tukienda kwenye mada

kwanza ujue maisha ni popote pale
cha msingi ni kujipanga tu. na uzuri wew umeanza mapema, hongera sana.


sijajua kwann unaishi dar ila unataka ukistaafu ukaishi mwanza, mi navyojua km unaishi dar basi michongo yako mingi na uwekezaji itakuwa maeneo ya hukohuko dar na labda mikoa ya jirani na hapo na ukistaafu itabidi uisimamie kwa ukaribu, anyway sio case, ilo ni chaguo lako ila sio mbaya kulifikia pia.

kuhusu wapi uende, kwa mm naona kwanza usishoboke na maeneo ya karibu na hizi barabara kuu maana ni ghali na kuna harakati nyingi humo kwa sasa. we nenda sehemu za ndanindani kidogo tena pata muda uende mwenyewe uone kwa macho ya nyama zako na udhibitishe. uko unaonana na wazee wenye maeneo yao ya urithi wanakukatia mapande yao ya ardhi ni rahisi kupata maeneo makubwa na kwa bei ndogo.

pia fikiria kupata sehemu kubwa ya kujenga nyumba na sehemu za mashamba hukohuko km ni mtu wa kupenda kilimo. pia kwa sasa sio lazma kuwe na huduma za jamii kama shule maji hospitali maana umesema ni uwekezaji wa muda mrefu.

kama ukistaafu ukaamua kubadili gea angani unakata viwanja vidogovidogo unapata mchuzi unafanya mambo mengine.

karibu
 
Back
Top Bottom