Ushauri kuhusu mabinti wawili nilio nao kwenye mahusiano

-'Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa'...

Mtu unayemuongelea ni wewe mwenyewe, sasa kwanini unatubebesha mzigo sisi tusiohusika na hiyo stori?
 
-'Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa'...

Mtu unayemuongelea ni wewe mwenyewe, sasa kwanini unatubebesha mzigo sisi tusiohusika na hiyo stori?
Mkuu si utoe maoni?
Ila mie nishaoa mkuu japo sijajaaliwa mtoto.
Ila huu mkasa kuna mtu umemkuta nikaona niulete humu.
 
Nafikiria ningekua mimi ningefanyaje? Ila mkuu angalia huyo aliyekuzidi umri, unaweza kuta anafanya vile aingie kwenye ndoa tu, then aoneshe makucha yake. Kingine huyo mdogo kama anakupenda usimteme ni utoto tu bado unamsumbua. Ila huyo mwingine namashaka naye kwanza usikute kashaharibu alikotoka anataka closure tu kwako.
 
Ukimkuta mwanaume anauliza nani amuoe huyo jua sifa za kiume zimeondoka kabisa mwanaume hutumia akili Kwa Kila jambo ila mwanamke hutumia hisia

Sasa huyu mwenzetu kashakuwa ke tunamsaidiaje arudie tabia za kiume
 
Wako wawili tu kaka mwenye umri mkubwa na mdogo ambaye ameshachumbiwa na kutolewa posa.
Hizo ni sifa zao za hao wawili.
 
Ukimkuta mwanaume anauliza nani amuoe huyo jua sifa za kiume zimeondoka kabisa mwanaume hutumia akili Kwa Kila jambo ila mwanamke hutumia hisia

Sasa huyu mwenzetu kashakuwa ke tunamsaidiaje arudie tabia za kiume
Kwani mkuu mwanaume huwezi ukakanganywa kihisia na ukawa kizani kiasi ukahitaji ushauri?
 
Umemuongelea vizuri sana huyo mwenye uchumi ila huyo teenager umemuongelea kihisia tuu [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…