Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

Introverted

Member
Joined
Oct 25, 2022
Posts
14
Reaction score
19
Habari ndugu zangu, mm kijana wa kiume(26) napatikana Dar es salam-kigamboni, hivi karibuni nmepata wazo la kufanya biashara tajwa hapo juu lakin katika kuandaa business plan yafuatayo nayataftia majibu na ninyi nimeona ni watu sahihi kuwauliza na kupata hayo aidha katika kupeana ushauri yafuatayo niyakuzingatia
○Kuhusu mtaji kiukweli nnao mdogo sana ila kwangu sio shaka maana nimejipanga kuanza kidogo kwanza.
○ naendelea kuandaa business plan maana naitazama kwa ukubwa biashara hii.
○ Ombi langu kwenu ni ushauri katika maeneo yafuatayo:
initial capital nahitaji kufungua frame.
sehemu ya soko zuri ambalo naweza kuuza hizo bidhaa
chimbo la kununulia bidhaa hizo kwa hapa dar es salaam.
sehemu ya kununulia bidhaa hizo( chimbo)
namna ya kuwafikia wateja
Kwa walio tayari kunisaidia karibuni sana ndugu zangu.
 
Habari ndugu zangu, mm kijana wa kiume(26) napatikana Dar es salam-kigamboni, hivi karibuni nmepata wazo la kufanya biashara tajwa hapo juu lakin katika kuandaa business plan yafuatayo nayataftia majibu na ninyi nimeona ni watu sahihi kuwauliza na kupata hayo aidha katika kupeana ushauri yafuatayo niyakuzingatia
○Kuhusu mtaji kiukweli nnao mdogo sana ila kwangu sio shaka maana nimejipanga kuanza kidogo kwanza.
○ naendelea kuandaa business plan maana naitazama kwa ukubwa biashara hii.
○ Ombi langu kwenu ni ushauri katika maeneo yafuatayo:



Kwa walio tayari kunisaidia karibuni sana ndugu zangu.
Unategemea kuuza pazia, mito,... mtaji kias gan ulionao?
 
Sina muongozo na ndiyo maana nimeomba msaada sijui chochote ndio nafanya research
Wewe kabla hujafanya biashara inabidi ufanye utafiti wako mwenyewe. Kuna pazia za aina tofauti. Kuna pazia tunanunua set moja 38k na kuna za set mpaka 100k na kuendelea.

Naona kama unataka ukirupuke, hujajipanga.

Au ni mvivu wa kufuatilia kitu unachotaka fanya.

Au ndio hiyo character ya introvert inakuzingua
 
Wewe kabla hujafanya biashara inabidi ufanye utafiti wako mwenyewe. Kuna pazia za aina tofauti. Kuna pazia tunanunua set moja 38k na kuna za set mpaka 100k na kuendelea.

Naona kama unataka ukirupuke, hujajipanga.

Au ni mvivu wa kufuatilia kitu unachotaka fanya.

Au ndio hiyo character ya introvert inakuzingua
Huyu inabidi anipigie tu nile consultation fee na hela yake ya kumpeleka chimbo
 
check huu uzi ukupe mwanga



 
Kw
check huu uzi ukupe mwanga



Kwa nn acheki uzi huo na mwenyewe hapahapa nipo... na sina hela hapa.. anicheki inbox nimpe consultant
 
Back
Top Bottom