Ushauri kuhusu mtoto kufariki tumboni kwa mama

Ushauri kuhusu mtoto kufariki tumboni kwa mama

Habari wakuu, ninatatzo limenipata naomben nijue tafadhli,,mke wangu alikuwa na mimba ya miezi 6na wiki 2,maendeleo ya mimb na mama ylikuwa mazuri,lkn siku mbili nyuma alikuwa akilalamika maumivu ya tumbo na alipoenda hosptl aliambiwa mtoto amefariki tumboni,,lkn walipomchukua vipomo ilikujua chanzo vipimo vyote vinaonyesha mama hakuwa na tatzo lolote nje wala ndani ya tumbo lake na mtoto hakuwa na shida yyte ile tumboni na amekaa kama alivyo ila mapigo ya moyo ndo hayapigi hivyo tumepewa ushauri turudi hosptl baada ya wiki.

Na siku tunapewa taarifa ya mtoto kufariki tumbo la mama lilinywea likawa dogo na kitovu kilirudi ndani na hakuwa anahisi uzito wwote,,lkn baada ya kulala asubh tumbo lilirudi vilevile kma mjamzito na akawa anahisi uzito tumboni na kotovu kilitoka vilevile kma alivyokuwa na mimba lkn mtoto hamsikii kuchza na yeye haumwi popote ni mzima na shghl zake anauwezo wakufanya.

Shida yngu natka kujua mtoto anapokuwa amefariki tumbo hali gani inakuwepo kwa mama mjamzito either kuhis kuumwa sehem mbalimbli za mwili wake au tumbo lake linakuwaje kwa kipindi hiko,,msaada tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,,ninatatzo limenipata naomben nijue tafadhli,,mke wangu alikuwa na mimba ya miezi 6na wiki 2,maendeleo ya mimb na mama ylikuwa mazuri,lkn siku mbili nyuma alikuwa akilalamika maumivu ya tumbo na alipoenda hosptl aliambiwa mtoto amefariki tumboni...
Pole ngoja waje wahusika watakusaidia, lkn kikubwa usiamini sana hicho kipimo, jarabu kwenda hospital nyingine huenda ikawa mtoto ni mzima tatzo likawa la kipimo husika...nikupe mfano mmoja hai...mke wangu alipopata ujauzito kwa mara ya kwanza mwaka 1973, alipimwa akaambiwa mtoto yuko nje ya mfuko wa mimba kwa hiyo lazma ajifungue kwa kisu, okay sikushangaaa! Lakini sikutaka kuamini 100%. Nilitoka na mke wangu kipenzi aitwaye keth kwenda hosipatal nyingine, madaktr bingwa alimpoma na kuona yuko sawa, mtoto wangu wa kiume alikuwa katulia salama ndani ya mfuko wake wa uzazi.

Nimekupa hako ujumbe iliusiwe na mawazo hasi kutikana na majibu ya kipimo hicho. Kumbuka yafuarayo:-

Kipimo chochot kinasomwa na mwanadamu,kuna uwezekano kabisa kikawa na hitilafu kipimo chenyewe au msomaji akakosea kidogo, kwan hakuna aliyekamilika kwa lolote, na ndo maaana wakakwambia urudi tena ili wakajilizishe tena.

Mkuu ebu muulize shemeji kama mtoto anacheza kwa sasa!

Mkuu ebu jaribu kushikashika tumbo la mama wakati umelala naye usiku hada akitoka kuoga na usiku wa manane!

Mkuuu kuna mambo mengi sana ya kujuwa, kwa mfano navyohuwa mm huwa kuna watoto wengine cyo wasumbufu, akicheza mara moja kwa sku analala kabisa humsikii tena....inawezekana mtoto akacheza hata mama mwenyewe asigundue pengine kalala nk.

Mtoto wangu wa pili 1986 alikuwa wa kiume, hakuwa msumbufu kabisa, ikapelekea niwaze kwamba mtoto wangu hayuko hai,,, nilisafiri kwenda south afirika na mke wangu, nikakutana na madaktr bingwa kutoka uingereza ba marekani, kwakel waliniyakikishia uhai wa mwanangu na wakaniahid kupata mtoto mwenye akili sana na ndivyo ilivyokuwa , mpaka hapa navyoongea yuko ughaibuni kwa kazi.

Mkuu, swlaa la mimba kupotea na kuonekana tena, ni swala gumu kidogo lkn nikuombe kitu, sema na MUNGU wako kuanzia sasa, kama kuna nguvu zozote za giza, MOLA atashughulika nazo kikamilifu, mpaka sasa anashughulika na waja wake.

Mkuu, kua utaone ndo haya mambo, kauli hii haikumanisha uyaone majumba au bahar hindi noo! Utaone maisha ya Dunia na mizengwe yake.

Mkuuu kama vip nichek kwa pm.

Nakutakia jumpili njema, nko safarini GABON

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijajua Mantiki ya Swali lako! Je unamaanisha kuwa Huamini kama Amekufa au Vipi?

Sasa Kiongozi anayeweza Kukujibu maswali yako juu ya hali ya mtoto tumboni ni Kufanyiwa vipimo Hospitali na si hapa JF penye Madktari uchwara watakaokujibu kwa hisia badala ya ujuzi.

Nenda Hospital ukacomfirm ulichoambiwa awali.
 
Ndugu umesema ushapima na ikagundulika mapigo ya moyo wa mtoto hayako sawa so ni vizuri ungemalizana na hospitali hapa utapata majibu yenye mihemko uzidi kupata stress tu.

Pole sana ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi Nimependa interval ya watoto wako.
Pole ngoja waje wahusika watakusaidia, lkn kikubwa usiamini sana hicho kipimo, jarabu kwenda hospital nyingine huenda ikawa mtoto ni mzima tatzo likawa la kipimo husika...
 
Mantiki ya swali langu kwanza nikujua hali ya mjamzito pindi mtoto anapofia tumboni na bado hajatoka,,natak kujua tumbo lake linabakia vilevile ama linapungua,,huwa ni mzima kbsa ay huisi maumivu sehem mbali mbali za mwili wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu waungwana,

Mi ni mzima na nawaomba tuendelee kujikinga na Covid-19

Binafsi nina tatizo hili nimtiapo mwanamke mimba basi ndani ya miezi sita au nane mimba hiyo huharibika au mtoto akizaliwa basi ndani ya masaa mawili/matatu hufariki. Tatizo hili linanitesa sana kiakili kwa kuwa umri nao unanitupa mkono😢😢😢

Niliyowahi kuyafanya
Tulienda kwa mama mmoja wa miti shamba ambaye mimi na mwenzangu tuna vinyama vimejitokeza Kati ya uume/uke na mnduku,mama huyo akadai hiyo ndio sababu ya yote hayo kwahiyo tunatakiwa tuvikate! Mwenzangu alikubali akakatwa mi nikagoma.

Niligoma kwa kuwa wapo wanaume niwajuao wanavyo vinyama hivyo ila wana watoto. Nilishawahi ugua magonjwa ya zinaa kwa muda mrefu ila nimepona.

Naomba ushauri wenu wazee wenzangu ili mali zangu zipate mrithi wa damu yangu
 
Pole! jaribu kwenda hospitali kwa uangalizi zaidi
 
Tumepoteza sana watoto [emoji22][emoji22][emoji22]

Dah I feel you.. kupoteza mtoto tu kunauma sanaaa sasa ikiwa watoto[emoji19][emoji19]

Pole!! Usichoke kumuomba Mungu, kufunga kwa imani yako na sadaka

Pia ukiwaona watoto wadogo wote tu ukiwa na chochote wape Kama sadaka tu na utoe kwa moyo mmoja

Kama unauwezo unaweza kununua vitu ukapeleka kituo cha watoto yatima

Mimi nimepoteza my princessa mwaka jana 3days after kuzaliwa n hadi leo siko sawa[emoji17] ndio first born wetu but GOD took her from us!! Tunasubiria baraka za zaidi[emoji1431]
 
Back
Top Bottom