Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Pole, ukute hata nauli ya kurudi kijijini ulitegemea huo muamala.Kweli aisee,, nimeshangaa Jamaa anasema haelewi nalalamikia nini. Sio kila mtu anaishi mjin
Habari.
Siku ya Leo tar 24/01/2022 nimefika katika Tawi la NMB Kwa lengo la kutoa pesa kwenye ATM machine ya pale.
Nimeingiza Kadi na kufuata process zote lakin machine haikutoa pesa ilihali SMS ya muamala nilipata.
Nilivyomuuliza mlinzi akanambia niingie ndan ya Tawi ambako nilipewa form na kuambiwa nisubir masaa 24.
Ninaomba ushauri maana tatizo hilo limeniletea usumbufu mkubwa na ninatakiwa kuingia gharama zingine kufuatilia pesa hizo.
NMB nimewahoji kuhusiana na ni nani Kati ya Mimi na wao anayepaswa kubeba gharama za usumbufu huo wanasema nibebe Mimi ilihali tatizo ni la mfumo wao.
Kama ni Visa au Mastercard utatumia nchi yoyote kwenye ATM zenye mfumo huo
Kwa uzoefu wangu kama una kadi zile za Visa au Mastercard utaweza kutoa hela ambayo ipo kwenye account yako hata ukiwa nje ilimradi tu upate ATM yenye Visa au Mastercard kulingana na card yako.
Nawakubali wanangu wa faida nyingi, naomba mjibu na hili swali πInawezekana ndio, nadhani crdb wana kadi zao zinakuwezesha kufanya miamala!
mana pia nataka kujua vipi kama nimeweka pesa za tz je nikifika huko nitatoaje au niliweka kwa dollar je nikirudi tz nitatoa kwa mfumo wa dollar kama nilivoweka au itakuajeKwahyo hela zitakua converted moja kwa moja na dollar ya nchi husika?
Ukirudishiwa hiyo Pesa tafadhali toa 10% ya Kumtolea Sadaka ( Fungu ) Mwenyezi Mungu ili Mabalaa na Matatizo mengine yasikupate au hata Kukunyemelea.Habari.
Siku ya Leo tar 24/01/2022 nimefika katika Tawi la NMB Kwa lengo la kutoa pesa kwenye ATM machine ya pale.
Nimeingiza Kadi na kufuata process zote lakin machine haikutoa pesa ilihali SMS ya muamala nilipata.
Nilivyomuuliza mlinzi akanambia niingie ndan ya Tawi ambako nilipewa form na kuambiwa nisubir masaa 24.
Ninaomba ushauri maana tatizo hilo limeniletea usumbufu mkubwa na ninatakiwa kuingia gharama zingine kufuatilia pesa hizo.
NMB nimewahoji kuhusiana na ni nani Kati ya Mimi na wao anayepaswa kubeba gharama za usumbufu huo wanasema nibebe Mimi ilihali tatizo ni la mfumo wao.
africa hakunaga kitu kinachoitwa gharama za usumbufu.Update : pesa nilirudishiwa baada ya masaa nane.
Nilichojifunza ni kuwa NMB wanarespond haraka ukiwafuata online Kama Messenger, jamiiforum na kuwatumia mail.
Ukiwa na tatizo nao fuata process za kwenye Tawi Lao lakin usiishie hapo wafuate pia WhatsApp, messenger na kwenye mawasiliano Yao mengine.
Lengo la kufidiwa gharama za usumbufu sijafanikisha maana mda hauniruhusu kufuatilia Hilo.
Nadhan hujasoma ukanielewa. Tatizo sio kurudishiwa pesa.
Pesa itatoka kwa hela ya nchi husika ( ulipo) kama upo India itatoka Ruppee kwa kiwango utakachoandika kwenye ATM ambacho wewe itajitaji kuchukua, ikiwa salio lako likithaminishwa kwa pesa hiyo linatosha.Nawakubali wanangu wa faida nyingi, naomba mjibu na hili swali π
mana pia nataka kujua vipi kama nimeweka pesa za tz je nikifika huko nitatoaje au niliweka kwa dollar je nikirudi tz nitatoa kwa mfumo wa dollar kama nilivoweka au itakuaje
Nashukuru sana mzee wangu, nmekuelewa.Pesa itatoka kwa hela ya nchi husika ( ulipo) kama upo India itatoka Ruppee kwa kiwango utakachoandika kwenye ATM ambacho wewe itajitaji kuchukua, ikiwa salio lako likithaminishwa kwa pesa hiyo linatosha.
π Daahh nmecheka sana ππafrica hakunaga kitu kinachoitwa gharama za usumbufu.