cobe da pixel
Senior Member
- Jul 12, 2014
- 101
- 61
Naombeni ushauri wenu wana JF
Mimi nataka nianze uchimbaji wa madini kama mchimbaji mdogo ila bado sijajua ni madini gani yanayolipa na kumtoa mtu, pia nisehemu gani yanapopatikana kwa wingi.
Naombeni mniongoze njia wana JF
Mimi nataka nianze uchimbaji wa madini kama mchimbaji mdogo ila bado sijajua ni madini gani yanayolipa na kumtoa mtu, pia nisehemu gani yanapopatikana kwa wingi.
Naombeni mniongoze njia wana JF