Ushauri kuhusu used Sports Bike

Ushauri kuhusu used Sports Bike

Kwema mkuu?mimi bhana maisha yangu yalianzia kwenye bike nilikuwa bikeboy

Huwa natamani sana hizi bike kubwa niwe nalo hata limoja mara moja weekend napasha nalo msuli na mimi nilikuwa najiuliza nitaliweza maana watu wanatutisha mara power kubwa sana oooh daah… share experience yako kwenye hizi machine nami nikajiokotee.
Yanahitaji heshima sana kukupeleka ahera ni kugusa tu,KTM SUPER ADVENTURE 1290R ilikuwa bado kidogo linitoe roho
 
Honda click 150cc m5.9 mpya kwa safari za 30km kwa wiki mara 4-5 naambia itachoka mapema pia unguja click ni kila kona naifikilia cbr 600 ila hofu mkuu kwa maneno ya wadau
Chukua Honda CB400 Super Four kwa unguja itakuwa kwenye 8million. Hii itakufaa sana haina plastic fender na ni rahisi kuimudu tofauti na hizo CBR ambazo ni Sport Bike.
 
Wakuu kupitia huu uzi naomba kuuliza hivi hizi pikipiki used kuna soko gani la nje kama vile be forward na SBT unaweza ukaagiza mwenyewe
Japan bike kwenye hizo site hawaweki sana, Dubai kuna site za pikipiki au South Africa Zimejaa bike aina tofauti.

Ukihitaji za South Africa nicheki.
 
Honda click 150cc m5.9 mpya kwa safari za 30km kwa wiki mara 4-5 naambia itachoka mapema pia unguja click ni kila kona naifikilia cbr 600 ila hofu mkuu kwa maneno ya wadau
Kwenye kuchoka mapema hapo nakataa Kila kitu ni jinsi takavyo kitunza... Kama pesa zako ni za mawazo Honda click ni best haswa unywaji wake wa mafuta ni mdogo sana.
 
Fenders ndio nini...?
Plastic za urembo zinakuwa pembeni ya Tank, engine kwenye sport bike.
images (15).jpeg
 
Back
Top Bottom