Promenthous
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 338
- 397
- Thread starter
-
- #21
M naona kujenga nyumba ya kifahari inatakiwa uijenge ukiwa hauna stress na bila pressure,hapo utajenga nyumba ya maana.Inategemea Kama anataka kutoka kwenye kulipa kodi kwanza.... Au anataka nyumba ya kifahari kwanza.... Then baade ajenge za kupanga...
Kote utakaaje,au wikend mjini siku zingine huko porini[emoji16]Jenga kote
Kama wewe ni mpori poriKote utakaaje,au wikend mjini siku zingine huko porini[emoji16]
[emoji16][emoji23]Kama wewe ni mpori pori
ndio Mkuu, mijini maeneo ni madogo mno, mimi binafsi nitajenga nje ya mji, Dunia ya leo sio lazima kuishi townKwakweli,uzuri wa nnje ya mji ni kuwa na eneo kubwa ambalo unaweza kufanyia mambo mengi,umeme ni wamuhimu lakini upatikanaji wa maji ndio muhimu zaidi
Kujenga mbali na mji huko mboga ni safi toka shamba na mifugo ni uhakika.Habari wakuu,
Nahitaji ushauri wa wapi panafaa kujenga nyumba kwa ajili ya familia, option ya kwanza ni mjini,hii namaanisha sehemu ambayo haiko mbali na mjini na tayali kuna maendeleo kama barabara, umeme na huduma zingine za msingi,kero yake ni tayali kumeshabanana, utulivi hakuna na kiwanja sio kikubwa cha kuweza kujiachia au kufanya uwekezaji.
Option ya pili ni kujenga nnje ya mji,huku maendeleo bado hayajafika kama maji na umeme lkn barabara inafikika, uzuri wake kunautulivu, hali ya hewa nzuri na uwezekana wa kufanya uwekezaji mwingine upo kama vile kufuga, bustani n.k,kama ungelikuwa ni wewe ungechagua option gani na kwanini?
Hili ndio chaguo sahihi.Option ya pili ni kujenga nnje ya mji,huku maendeleo bado hayajafika kama maji na umeme lkn barabara inafikika, uzuri wake kunautulivu, hali ya hewa nzuri na uwezekana wa kufanya uwekezaji mwingine upo kama vile kufuga, bustani n.k,kama ungelikuwa ni wewe ungechagua option gani na kwanini?
Jenga nje ya mji ...huo mji utakufuata baada miaka michache sana ijayo.Ni sawa,hiyo nyumba ya kustafia ijegwe mjini kwenye huduma za msingi au huko nnje ya mji kwenye utulivu?
Sawa kabisaNje ya mji,
Jenga msingi, kisha uuache tu.
Halafu rudi mjini ujenge nyumba wa wastani tu ya makazi.
Huduma za umeme na maji ni muhimu.
Kufikia miaka kadhaa mbele, huko nje ya mji kutachangamka,
Utaendeleza ule msingi na kujenga nyumba ya malengo yako,
Kisha mjini utaweka wapangaji.
Hata huko unakokimbilia nje ya mji patakuwa mjini tu. Hakuna namna jenga nyumba kwenye eneo lenye huduma zote. Mambo ya kwenda kuhangaika na maji ya visima na umeme wa solar uzeeni ni changamoto.Ha ha ha kustafia[emoji16]kwaweli ukishakuwa mzee stress za mjini ni za kuzikimbia,mjini tunawaacha watoto na wapangaji.
Hapo ndio tatizo.nje ya mji usalama sifuri
[emoji23][emoji16]Raha sana, sema ndio upate sehemu ambayo huduma za msingi zimeshafika atleast utainjoy.Raha ya nje ya mji bwana ukute miundombinu ya umeme na maji ipo upate eneo kubwa unajenga zako.pale unalima bustani za mboga mboga, unafuga kuku wako hapo unafuga samaki wako hapo, bandq la mbuzi wanne pembeni, miti ya matunda Yani Mshana Jr akija tembea anamua ale nini matunda fresh, samaki fresh, au kuku fresh au mbuzi kutoka bandani umepanda miti yako ya kimvuli basi burudani safi, ukiwa mtu vileo week end mnakaa na mama watoroo kwenye kimvuli mnanyonywa vitu taratibu na mziki kwa mbali kutoka Boys 11 men[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli,ukivamiwa na wana hata majirani wakukusaidia hakuna labda uwe umejidhatiti binafsi.Hapo ndio tatizo.
Tatizo kupata eneo la kujiachia kwa mjini ni pesa ndefu atleast kwa nnje ya mji unaweza kupata eneo kubwa,changamoto ni kwenye huduma za msingi labda kusubiria hadi zifike au kujikaza kuishi hivyo hivyo hadi kutakapokuwa mjiniHata huko unakokimbilia nje ya mji patakuwa mjini tu. Hakuna namna jenga nyumba kwenye eneo lenye huduma zote. Mambo ya kwenda kuhangaika na maji ya visima na umeme wa solar uzeeni ni changamoto.
Tatizo ni hao majirani utakaowakuta huko nje ya mji ni shida. Utavamiwa na vibaka kila wakati mpaka utatamani kurudi mjiniTatizo kupata eneo la kujiachia kwa mjini ni pesa ndefu atleast kwa nnje ya mji unaweza kupata eneo kubwa,changamoto ni kwenye huduma za msingi labda kusubiria hadi zifike au kujikaza kuishi hivyo hivyo hadi kutakapokuwa mjini
Duhh[emoji16][emoji28]Tatizo ni hao majirani utakaowakuta huko nje ya mji ni shida. Utavamiwa na vibaka kila wakati mpaka utatamani kurudi mjini
Hili tatizo la upweke, ukiwa na pesa weka mifugo na ujenge nyumba za wadangaji kazi watakao hudumia mifugo. Hawa watakua watoto wako na majirani zako.Nje ya mji ni pazuri kama una access ya usafiri wako binafsi, utapata eneo kubwa lakini pia baada ya miaka kadhaa pata endelea.
Mimi ni mmoja ya waliojenga nje ya mji changamoto kubwa niliyo nayo ni ukimya wa mazingira tu na ukosefu wa majirani kwa karibu lakini mengine yote yako poa sana.
Nb: Siku zote kwa mtu ndio mbali ila kwako huwa sio mbali, jenga nje ya mji uwahi eneo ndugu.