Ushauri: Kumpa hela mama mkwe wako wa zamani ni sawa au niache kabisa kujipendekeza?

Ushauri: Kumpa hela mama mkwe wako wa zamani ni sawa au niache kabisa kujipendekeza?

Wakuu nilikuwa na msichana fulani niliyeishi naye miaka takribani mitatu ila bahati mbaya hatukupata baraka za kuwa na watoto na kibaya zaidi tukaja kuachana kwa mambo fulani fulani ambayo sioni haja ya kuanza kuwachosha kuyaelezea.

Ila sasa mama yake alikuwa ni mtu mwema kwangu kiasi kwamba nikawa namsaidia pesa ndogo ndogo kwa kuwa hali yake sio nzuri sana ya kiuchumi, kama ni ugomvi tunao mimi na mwanaye tu na toka niachane na mtoto wake sijawahi kuongea naye tena na ni takriban miezi sita sasa imepita na nimepata mchumba fulani ambaye bado tunapangana pangana.

Sasa nimeotea hela kwenye mitikasi yangu ninawiwa kumtumia pesa mama mkwe ila naona kama inaweza ukawa mwanzo wa kuanza kurudisha rudisha mahusiano tena mambo yakawa mengi tena maana wananijua in and out.

Mimi nina tabia ya upole na huruma natamani tu nimsadie ila nataka isiwe sababu kwamba bado nawawaza waza isitoshe ni watu fulani wa mambo za Kiswahili swahili nadhani mshaelewa yaani, mambo ya kiwitch witch wanaziamini.

Mnasemaje nimsalimie na ku boost kidogo ka 30000 au nile buyu tu.
Kwani amekwambia anataka kusaidiwa ?? Hicho ni kimbelembele a.k.a kimbelefront
 
Huruma sio mapenzi.
Mfanyakazi wa voda kulipwa na Dawasco salary.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wakuu nilikuwa na msichana fulani niliyeishi naye miaka takribani mitatu ila bahati mbaya hatukupata baraka za kuwa na watoto na kibaya zaidi tukaja kuachana kwa mambo fulani fulani ambayo sioni haja ya kuanza kuwachosha kuyaelezea.

Ila sasa mama yake alikuwa ni mtu mwema kwangu kiasi kwamba nikawa namsaidia pesa ndogo ndogo kwa kuwa hali yake sio nzuri sana ya kiuchumi, kama ni ugomvi tunao mimi na mwanaye tu na toka niachane na mtoto wake sijawahi kuongea naye tena na ni takriban miezi sita sasa imepita na nimepata mchumba fulani ambaye bado tunapangana pangana.

Sasa nimeotea hela kwenye mitikasi yangu ninawiwa kumtumia pesa mama mkwe ila naona kama inaweza ukawa mwanzo wa kuanza kurudisha rudisha mahusiano tena mambo yakawa mengi tena maana wananijua in and out.

Mimi nina tabia ya upole na huruma natamani tu nimsadie ila nataka isiwe sababu kwamba bado nawawaza waza isitoshe ni watu fulani wa mambo za Kiswahili swahili nadhani mshaelewa yaani, mambo ya kiwitch witch wanaziamini.

Mnasemaje nimsalimie na ku boost kidogo ka 30000 au nile buyu tu.
Okey vipi huyo mchumba wako mpya akija huku anacheka cheka anakuambia "mama yangu ametumiwa laki moja na ex wangu"
According to Idd Makengo ex hutakiwi kuwa na connection naye yeyote utajisikiaje mchumbaako akikubia ninaenda kumuangalia mzazi wa ex wangu anaumwa ? Au kwenda kumzika? Hata kumzika ex usifikirie kabisa hi ni kwa afya ya uhusiano mpya
 
Ningekushauri hizo fedha peleka kwenye kituo cha watoto ya tima utapata baraka Sana kulipo kumsaidia huyo Mama wa mzinzi mwenzako wa zamani
 
Mtumie mamako hiyo pesa.au nenda sehem agiza nyama choma kaugal kidogo na wine moja.
 
Wakuu nilikuwa na msichana fulani niliyeishi naye miaka takribani mitatu ila bahati mbaya hatukupata baraka za kuwa na watoto na kibaya zaidi tukaja kuachana kwa mambo fulani fulani ambayo sioni haja ya kuanza kuwachosha kuyaelezea.

Ila sasa mama yake alikuwa ni mtu mwema kwangu kiasi kwamba nikawa namsaidia pesa ndogo ndogo kwa kuwa hali yake sio nzuri sana ya kiuchumi, kama ni ugomvi tunao mimi na mwanaye tu na toka niachane na mtoto wake sijawahi kuongea naye tena na ni takriban miezi sita sasa imepita na nimepata mchumba fulani ambaye bado tunapangana pangana.

Sasa nimeotea hela kwenye mitikasi yangu ninawiwa kumtumia pesa mama mkwe ila naona kama inaweza ukawa mwanzo wa kuanza kurudisha rudisha mahusiano tena mambo yakawa mengi tena maana wananijua in and out.

Mimi nina tabia ya upole na huruma natamani tu nimsadie ila nataka isiwe sababu kwamba bado nawawaza waza isitoshe ni watu fulani wa mambo za Kiswahili swahili nadhani mshaelewa yaani, mambo ya kiwitch witch wanaziamini.

Mnasemaje nimsalimie na ku boost kidogo ka 30000 au nile buyu tu.
jambo hili kulikuwa na haja ya kulileta hapa?
 
Wakuu nilikuwa na msichana fulani niliyeishi naye miaka takribani mitatu ila bahati mbaya hatukupata baraka za kuwa na watoto na kibaya zaidi tukaja kuachana kwa mambo fulani fulani ambayo sioni haja ya kuanza kuwachosha kuyaelezea.

Ila sasa mama yake alikuwa ni mtu mwema kwangu kiasi kwamba nikawa namsaidia pesa ndogo ndogo kwa kuwa hali yake sio nzuri sana ya kiuchumi, kama ni ugomvi tunao mimi na mwanaye tu na toka niachane na mtoto wake sijawahi kuongea naye tena na ni takriban miezi sita sasa imepita na nimepata mchumba fulani ambaye bado tunapangana pangana.

Sasa nimeotea hela kwenye mitikasi yangu ninawiwa kumtumia pesa mama mkwe ila naona kama inaweza ukawa mwanzo wa kuanza kurudisha rudisha mahusiano tena mambo yakawa mengi tena maana wananijua in and out.

Mimi nina tabia ya upole na huruma natamani tu nimsadie ila nataka isiwe sababu kwamba bado nawawaza waza isitoshe ni watu fulani wa mambo za Kiswahili swahili nadhani mshaelewa yaani, mambo ya kiwitch witch wanaziamini.

Mnasemaje nimsalimie na ku boost kidogo ka 30000 au nile buyu tu.
Limbwata la kwenye mbaazi halijakutoka wewe tuma tu ulishapigwa chupi usoni huchomoi
 
Back
Top Bottom