Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Habari wakulima na wafugaji, naomba kuuliza kwa wakulima, je inafaa ķurudia kupanda mbegu za mahindi za hybrid ambazo umeshazitumia?
Mfano kwenye mvua za Masika umèpanda mbegu za hybrid, halafu kipindi cha mavuno unàchagua yake mahindi bora na unakuja kurudia kipindi cha vuli Mbegu niliyotumia ni DK na imefanya vizur
Mfano kwenye mvua za Masika umèpanda mbegu za hybrid, halafu kipindi cha mavuno unàchagua yake mahindi bora na unakuja kurudia kipindi cha vuli Mbegu niliyotumia ni DK na imefanya vizur