dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia 80m unapata iliyonyooka, hapo ni kodi,usafiri mpaka ulipo.Kwa scania za south ambayo imetembea Km 500k kushuka chini tractor unit 114, 124, P410, 360, bei ina range rand ngapi hadi ngapi.
Mkuu truck iliyochini ya 500km kushuka chini bei yake itakuwa juu. Ni truck za kuanzia 2018 kuja juu bei zitakuwa juu ya Rand 900,000Kwa scania za south ambayo imetembea Km 500k kushuka chini tractor unit 114, 124, P410, 360, bei ina range rand ngapi hadi ngapi.
Kwahio hio ya Rand R 150,000 kule inakua ni scania yenye sifa zipi. Maana naskia south scania zipo hadi za bei hioMkuu truck iliyochini ya 500km kushuka chini bei yake itakuwa juu. Ni truck za kuanzia 2018 kuja juu bei zitakuwa juu ya Rand 900,000
Kaka hiyo Rand 150,000 ni 20.5million. Hata Toyota Hilux hupati South Africa.Kwahio hio ya Rand R 150,000 kule inakua ni scania yenye sifa zipi. Maana naskia south scania zipo hadi za bei hio
Kwa bongo hio najua haiwezekani kabisa ila south naskia zipo . Hapo na maana hio ni bei ya kununua bila ushuruKaka hiyo Rand 150,000 ni 20.5million. Hata Toyota Hilux hupati South Africa.
Kwa hiyo bei inabidi utafute Scania za 2005 kushuka chini, bado ushuru ambao unacheza kwenye 20m.
Hiyo bei ndio ni bila ushuru, utapata matoleo ya miaka ya chini ya 2005. Na milleage nyingi ni zaidi ya 600,000km ila zipo kwenye condition nzuriKwa bongo hio najua haiwezekani kabisa ila south naskia zipo . Hapo na maana hio ni bei ya kununua bila ushuru
Nikipata hio kwa hio bei nikaileta bongo kwa njia ya barabara ushuru hautakuwa chini kidogo?Hiyo bei ndio ni bila ushuru, utapata matoleo ya miaka ya chini ya 2005. Na milleage nyingi ni zaidi ya 600,000km ila zipo kwenye condition nzuri
Ushuru unakuwa chini, trailer utachukua ya mtumba au ya kichina.Nikipata hio kwa hio bei nikaileta bongo kwa njia ya barabara ushuru hautakuwa chini kidogo?
Horse moja au ngapi?Trailer nnazo nataka horse tu. Namaana nzikokote kwa rami from south to Bongo
Inawezekana ni zinatafutwa gari kule kwenye minada au dealers wa used trucks, inakaguliwa na kutafutiwa vibali. Kisha safari inaanza, malipo utafanya kwa bank transfer ukipenda truck.Trailer nnazo nataka horse tu. Namaana nzikokote kwa rami from south to Bongo
Ok. Ofisi zenu ziko wapi?.Inawezekana ni zinatafutwa gari kule kwenye minada au dealers wa used trucks, inakaguliwa na kutafutiwa vibali. Kisha safari inaanza, malipo utafanya kwa bank transfer ukipenda truck.