Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Hilo ndiyo lilikuwa pendekezo la Membe kama sikosei pia wale walioolewa na Watanzania na waliooa Watanzania kama wanautaka uraia wa Watanzania. Sasa hivi Ghana imeruhusu Wamarekani weusi wote wanaoutaka uraia wa Ghana wafuate taratibu husika ili wapate uraia wa Ghana.
Ghana grants citizenship to over 100 African Americans, Afro-Caribbeans as part of Year of Return
“On behalf of the government and people of Ghana, I congratulate you once again on resuming your identity as Ghanaians.”qz.com
Ni kweli mkuu huu ni wakati wa kuwa na mawazo chanya Ili kukuza uchumi na kutafutia vijana fursa
Akina Mwendazake na genge lake walikuwa na uzalendo gani zaidi ya wivu na kupiga propaganda uchwara?
Hata taasisi za serikali ni vyema zikawa facilitators badala ya kuwa za udhibiti
Hakuna. Hii ni one way traffic. Marekaniwa asema you can do what you like as long as US is number one. Utaitwa heshini, utaitetea na kuihifadhi Narekani, hutatii mamlaka ingine yoyote ilevdhidibya Marekani. Msthelani, makanikua yetu yakikanarwazna Magufuli unawajibika kuitetea Marekani na hata ikibidi kupigana vita. Na ubatafanya haya jwa dhatim si kwa kutafyta ajira wala elimu kwa mtoto wako, ni TOTAL ALLEGIANCE. Embu soma tena naona unasahausahau:Mkuu, sidhani kama uko sahihi.
Japo Katiba au sheria ya Marekani haitaji "dual citizenship", haimkatazi raia wake kuwa na uraia pacha au raia wa nchi nyingine kupata uraia wa Marekani, kwa mujibu wa sheria wa nchi zote mbili. ILA kuingia Marekani lazima utumia pasi ya Marekani kama Mmarekani na katika shughuli nyingine zinazohitaji pasi.
View attachment 1812542
Dual Nationality
U.S. law does not mention dual nationality or require a person to choose one nationality or another.travel.state.gov
Huo ndio ukweli ksuruhu uraia pacha ni kufanya wageni waombe uraia wa Tanzania na sio watanzania waombe uraia wa nje hao watanzania wanaoishi nje ya nchi hawafikii hata 3m tena ni wabeba mabox wengine wakimbizi wengine wauza unga sasa hao ndio tuwatungie uraia pacha wataingizia kitu gani taifa.. Watakao nufaika na uraia pacha ni wazungu wakenya, wahindi n'a wachina na kujimilikisha mali zetu.. Mtoa mada ni moja ya washamba wa wazungu hajakaa chini akaangalia hasara za uraia pacha kwa vizazi vijavyoMkuu Ingawa sina Hoja kali kama Zako ila Uraia Pacha utatuua...wahinndiu watachukua kila tuu kuanzia ajira...
Hapa Tuu sasa hivi wao ndio wanaongoza kwa Uraia Pacha wa Uingereza,Canada na India na hapa Bongo wamebadilisha sana Visa/Permit to work Wengine wanaishi zaidi ya Miaka 10
Kufanya Kazi eti ya Expert anabadilisha tuu cheo,Leo hiki kesho kile ili isibumbuluke...Uhamiaji ni sheeedah,Wahindi Shikamooni...
Mmewakomoa sana migration hadi Wameshiba tena wanawasaidia namna ya Kuishi
Mkapa alipokuwa anasema hivyo hata Museveni alisema hivyo hivyo. Museveni alisharuhusu. Mkapa angekuwa raisi angeruhusu tu. Usipobadilika dunia inakuacha.Mkapa alisema uraia pacha haukubali, hataki kuuona katika maisha yake, labda uje akishafariki.
Alisema yuko tayari kuwapa wazawa wa Tanzania wenye uraia mwingine hadhi maalum ya "permanent residency" waingie na kutoka bila visa, wapate fursa za kuwekeza kama raia, lakini wasishiriki siasa.
Ndiyo maana miaka yote Mkapa alivyokuwa hai kulikuwa hakuna wa kugeuza kibao kwenye suala hili.
Sasa Mkapa kashafariki.
Labda ni muda wa kurejea hili suala.
Nadhani hapa ndipo nchi zetu za kiafrika tunapokwama. Tumewapa maraisi wetu such Supreme powers way above country’s constitutions. Haingii akilini mtu mmoja atamke kuwa hataki kusikia dual citizenship na watu hawahoji wanasubiri mpaka afe ndio watumie akili zao upya. Duuh!Mkapa alipokuwa anasema hivyo hata Museveni alisema hivyo hivyo. Museveni alisharuhusu. Mkapa angekuwa raisi angeruhusu tu. Usipobadilika dunia inakuacha.
Mkuu, nirudi palepale kwenye ukurasa niliokutumia:Hakuna. Hii ni one way traffic. Marekaniwa asema you can do what you like as long as US is number one. Utaitwa heshini, utaitetea na kuihifadhi Narekani, hutatii mamlaka ingine yoyote ilevdhidibya Marekani. Msthelani, makanikua yetu yakikanarwazna Magufuli unawajibika kuitetea Marekani na hata ikibidi kupigana vita. Na ubatafanya haya jwa dhatim si kwa kutafyta ajira wala elimu kwa mtoto wako, ni TOTAL ALLEGIANCE. Embu soma tena naona unasahausahau:
I hereby declare, on oath, that I absolutely and entirely renounce and abjure all allegiance and fidelity to any foreign prince, potentate, state, or sovereignty, of whom or which I have heretofore been a subject or citizen; that I will support and defend the Constitution and laws of the United States of America against all enemies, foreign and domestic; that I will bear true faith and allegiance to the same; that I will bear arms on behalf of the United States when required by the law; that I will perform noncombatant service in the Armed Forces of the United States when required by the law; that I will perform work of national importance under civilian direction when required by the law; and that I take this obligation freely, without any mental reservation or purpose of evasion; so help me God."
YAANI HAPO UNAMSHITAKI SAMIA WETU KWA "SO HELP ME GOD".
How about on the Tanzania side? Sheria inasema ukishafika miaka 18 budi uamue kusuka au kunyoa, ema urudishe passport yetuau utupe passport yao tuwarejeshee yao. Utasena tutajuaje? Yaani utatudaganyadanganya kama kina Membe na Nyalandu au Nassari au maponjoro wa Mtikila, lakini usaliti ni usaliti tu. Wale unawasaliti na sisi unatusaliti, why?
One more thing. Amri ya 8 inasemaje? Dhambi na Mungu hazina uduo!!
kweli kabisa. Thread imeandikwa kwa hasira kiasi kwamba haionyeshi ushawishi. Jikite kwenye faida na hasara zake then hata hao wanaopinga waweze kubadilika, na labda wanaounga mkono nao wabadilike pia!
Uraia pacha hapana. Hakuna mgao kwenye uzalendo. Sisi hatuhitaji kuja kua na wabunge na rais wenye uraia pacha. Mtu alikua mwanajeshi jeshi la marekani juzi mtu alikua jasusi wa marekani juzi leo aje anagombea ubunge au anakua balozi au rais wa tanzania. Acheni mawazo yasiyokua maana.
Uraia pacha ni utopolo mkubwa na lazima uzuiwe kabisa kwa nguvu zote.. Ukipenda kuwa mzungu acha uraia wa Tanzania uchagua huo uraia wa mzungu.. Hao diaspora wanaolilia uraia pacha kama sio wakimbizi ni wabeba box hamna maendeleo yoyote watakayoleta zaidi ya kufanya wazungu na wakenya wawe raia na waanze kushika mashamba yetu
Yeye mwenyewe ni diaspora lakini kawa waziri, au yeye ana urai pacha? mimi sidhani uraia pacha ni tatizo la mtu kutoweza kuwekeza au kupata ajira huku nyumbani.hizo ni sababu tu, kwani watu wengi walio nje wamewekeza huku Tanzania pasi huo uraia pacha,watu waache visingizio kuwa eti wanashindwa kuwekeza au wanakosa fursa sababu ya uraia pacha semeni tu huko majuu maisha magumu.
Hujagundua kwamba presha ya walio nje kutaka uraia wao wa TZ ni kubwa kuliko walioko ndani kutaka uraia wa nje? Wengi wenye kazi za maana nje ya nchi, hawakuhitaji na hawahitaji kuchukuwa uraia wa huko, tatizo ni wale waliojiripua!
Tuonyesheni vya maana mlivyofanya huko mlipo wehu nyie, mabox yakubeba yameisha mnataka kurudi
Labda nikuulize swali,ndani ya Tanzania kuna uwezekano wa mtu mmoja kuwa na makabila mawili tofauti?
Tumezoea hata kama mtoto ana wazazi wa makabila mawili tofauti,mtoto anatajwa kwa jina au kabila la baba yake.
Kwa mantiki hiyo habari ya kuwa na uraia wa nchi mbili au zaidi tusiuchekee,unaweza ukawanufaisha wachache lakini walio wengi wataumia.
Ushauri wangu kwa serikali kuhusu kuongeza diaspora ni kurekebisha mfumo mzima wa utoaji wa passport,
Mfumo wa sasa hivi wa kuulizwa swali la "unaenda wapi?'' ubadilishwe.
Chini ya swali hili waliotakiwa kupata passport wamekosa na wasiotakiwa wamepata, na wengi wamepata nyaraka hizo muhimu kwa uongo
na wale ambao hawakuwa tayari kuongopa wamekosa bila sababu za msingi.
Hakuna siri kwamba ajira hapa kwetu ni shida kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi duniani,lakini nchi nyingi zimeruhusu raia
wake kupata nyaraka za kusafiria ili kuwa ruhusu watu kutafuta maisha nje ya nchi zao kwa njia halali.
Wizara ibadilishe vigezo,kwa kuangalia labda tuseme elimu ya mtu,umri na shughuli anayoenda kuifanya badala ya maswali yasiyo na tija.
Kuna taasisi unakuta zinatoa nafasi za wafanyakazi kwenda nje kwa ajili ya mafunzo ya muda mfupi, na unakuta course hiyo
inajitokeza ghafla kufauatana na uhitaji let say kutengeneza mitambo na anatakiwa mtu mwenye passport iliyotayari
wewe ambaye huna unakosa fursa hiyo.Ukienda uhamiaji kuomba passport ili nawe uwe nayo ready to go uanaulizwa ''unaenda wapi?''
usipodanganya hupati maana kwa wakati huo unakuwa huna pa kwenda ila ni maandalizi.
Naomba wizara iangalie mambo kama haya,huwezi kwenda nje na kuishi huko mara moja
bila kwanza kwenda kutembelea kupitia fursa mbalimbali zinazojitokeza kupitia makampuni yetu.
kama kweli tunahitaji kuwa na diaspora wengi,turekebishe mfumo wetu wa utoaji wa passport.
kila mwenye umri wa miaka 18 aruhusiwe kupata passport bila mizengwe .
Hizi ndio point ambazo tunapaswa kutumia kupinga uraia pacha? Okay, kwa hiyo kwa kuwa wewe unachagua kabila la baba yako (kitu ambacho ni ubaguzi) badala ya mama yako, kwa hiyo Mtanzania akiolewa na Mkenya watoto wake hawana haki ya kuwa Watanzania? Sidhani kama unataka mama Samia akusikie unatoa point kama hizo.Labda nikuulize swali,ndani ya Tanzania kuna uwezekano wa mtu mmoja kuwa na makabila mawili tofauti?
Tumezoea hata kama mtoto ana wazazi wa makabila mawili tofauti,mtoto anatajwa kwa jina au kabila la baba yake.
Kwa mantiki hiyo habari ya kuwa na uraia wa nchi mbili au zaidi tusiuchekee,unaweza ukawanufaisha wachache lakini walio wengi wataumia.
Kama mnakataa uraia pacha kataeni tu. Lakini hoja ya makabila ni tofauti.Labda nikuulize swali,ndani ya Tanzania kuna uwezekano wa mtu mmoja kuwa na makabila mawili tofauti?
Tumezoea hata kama mtoto ana wazazi wa makabila mawili tofauti,mtoto anatajwa kwa jina au kabila la baba yake.
Kwa mantiki hiyo habari ya kuwa na uraia wa nchi mbili au zaidi tusiuchekee,unaweza ukawanufaisha wachache lakini walio wengi wataumia.
Ushauri wangu kwa serikali kuhusu kuongeza diaspora ni kurekebisha mfumo mzima wa utoaji wa passport,
Mfumo wa sasa hivi wa kuulizwa swali la "unaenda wapi?'' ubadilishwe.
Chini ya swali hili waliotakiwa kupata passport wamekosa na wasiotakiwa wamepata, na wengi wamepata nyaraka hizo muhimu kwa uongo
na wale ambao hawakuwa tayari kuongopa wamekosa bila sababu za msingi.
Hakuna siri kwamba ajira hapa kwetu ni shida kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi duniani,lakini nchi nyingi zimeruhusu raia
wake kupata nyaraka za kusafiria ili kuwa ruhusu watu kutafuta maisha nje ya nchi zao kwa njia halali.
Wizara ibadilishe vigezo,kwa kuangalia labda tuseme elimu ya mtu,umri na shughuli anayoenda kuifanya badala ya maswali yasiyo na tija.
Kuna taasisi unakuta zinatoa nafasi za wafanyakazi kwenda nje kwa ajili ya mafunzo ya muda mfupi, na unakuta course hiyo
inajitokeza ghafla kufauatana na uhitaji let say kutengeneza mitambo na anatakiwa mtu mwenye passport iliyotayari
wewe ambaye huna unakosa fursa hiyo.Ukienda uhamiaji kuomba passport ili nawe uwe nayo ready to go uanaulizwa ''unaenda wapi?''
usipodanganya hupati maana kwa wakati huo unakuwa huna pa kwenda ila ni maandalizi.
Naomba wizara iangalie mambo kama haya,huwezi kwenda nje na kuishi huko mara moja
bila kwanza kwenda kutembelea kupitia fursa mbalimbali zinazojitokeza kupitia makampuni yetu.
kama kweli tunahitaji kuwa na diaspora wengi,turekebishe mfumo wetu wa utoaji wa passport.
kila mwenye umri wa miaka 18 aruhusiwe kupata passport bila mizengwe .