jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Kumbe ni kweli hamuna hoja zaidi ya vihoja na chuki tu.Hamtafanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni kweli hamuna hoja zaidi ya vihoja na chuki tu.Hamtafanikiwa
Roho za kichawi tu, nothing more nothing less.Hofu yako ni nini? Hasara?
Mkuu Ingawa sina Hoja kali kama Zako ila Uraia Pacha utatuua...wahinndiu watachukua kila tuu kuanzia ajira...
Hapa Tuu sasa hivi wao ndio wanaongoza kwa Uraia Pacha wa Uingereza,Canada na India na hapa Bongo wamebadilisha sana Visa/Permit to work Wengine wanaishi zaidi ya Miaka 10
Kufanya Kazi eti ya Expert anabadilisha tuu cheo,Leo hiki kesho kile ili isibumbuluke...Uhamiaji ni sheeedah,Wahindi Shikamooni...
Mmewakomoa sana migration hadi Wameshiba tena wanawasaidia namna ya Kuishi
Roho za kichawi tu, nothing more nothing less.
Sawa, ngoja tuone.Labda ana hoja ya msingi, ngoja tumsikilize akirudi.
Faida zipo kubwa sn nakupa mfano mmoja tu ambao utawafunua watu katik kipindi cha mwaka wa 2019/20.Ningewashauri wale wote wanaoona faida za Tanzania kuwa na uraia pacha watoe msisitizo wao kwenye hii thread
Mmefukua tena huu uzi!!?
kamwe hmtofanikiwa
Issue ni ile ile tu mtauwa uzalendoNdo roho mbaya hii tunayozungumzia, ya bila kuwa na sababu ya msingi .. yaani inakuwa ni kuanzisha ligi tu .........bado tuna safari ndefu.
Faida zipo kubwa sn nakupa mfano mmoja tu ambao utawafunua watu katik kipindi cha mwaka wa 2019/20.
Remittance flows to Sub-Sahara African countries ilikuwa kiasi cha over $50 BILLION DOLLARS sasa hebu tizama hicho kiasi cha pesa .
Kwani shida ni ya nani? Ni watanzania kutaka uraia wa nchi zingine au wa nchi zingine kutaka uraia wa TZ? Shida ni kwamba kuna wa-TZ walioamua kuukana uraia wao na kuchota uraia wa nchi zingine wakiamini wameukata. Sasa kihoro kinawasumbua wanataka waruhusiwe kuwa tena wa TZ.
Ndo maana unasikia maneno kama kuonea wivu. Ni kwa kuamini kwamba walipopata uraia wa nje waliukata: BAlozi Mula mula huyo muonee huruma tu! NI bahati mbaya leo hii ni waziri labda naye anataka uraia wa Rwanda.
Uzalendo utauwawa kivipi? Unataka kusema nchi zenye uraia pacha wananchi wale siyo wazalendo? Yani hata marekani?Issue ni ile ile tu mtauwa uzalendo
Issue ni ile ile tu mtauwa uzalendo
Ni mhindi gani wa kuhangaika na ajira za kulipwa milioni kwa mwezi? Labda mhindi kokoMkuu Ingawa sina Hoja kali kama Zako ila Uraia Pacha utatuua...wahinndiu watachukua kila tuu kuanzia ajira...
Hapa Tuu sasa hivi wao ndio wanaongoza kwa Uraia Pacha wa Uingereza,Canada na India na hapa Bongo wamebadilisha sana Visa/Permit to work Wengine wanaishi zaidi ya Miaka 10
Kufanya Kazi eti ya Expert anabadilisha tuu cheo,Leo hiki kesho kile ili isibumbuluke...Uhamiaji ni sheeedah,Wahindi Shikamooni...
Mmewakomoa sana migration hadi Wameshiba tena wanawasaidia namna ya Kuishi
Makando kando ya ujamaa bado yanatuathiri na ukiongezea wanasiasa kulipwa mishahara minono wao na watoto wao wanaishi maisha mazuri kwa hyo izo kelele za diaspora wala haziwasumbuiNdio maana nasema CCM siku zote inapenda kutumia ujinga wa Watanzania kama mtaji...
Hoja wanazotoa ni nyepesi sana na zisizo na mantiki ! Mara utasikia matishio ya kiusalama mara uzalendo unashuka! Na yote haya hayathibitishwi bali ni hadithi tu kutoka kwa viongozi waongo waongo..
Kwa mwaka wa 19 tangu nimetoka nyumbani nimeona tofauti kubwa sana hasa kimaendeleo na kimtazamo , huku nimekutana na watu na kupata marafiki wengi tu hata wa Africa ambazo nchi zao zinaruhu dual citizenship sasa najiuliza CCM walishawahi kuchukua maoni kutoka hizo nchi n hawa watu wanachangia mapato kiasi gani kwenye "nchi mama" walizotoka..??
Jibu ni kua hawajafanya tafiti ndio maana hadi leo vijana wengi wa kitanzania wanakosa fura adhimu mbali mbali kutokana na huduma baadhi za PayPal kutoruhusiwa ila ukiwauliza viongozi hawana majibu
Kiukweli faida zipo ni nyingi ,hali kadhalika hasara zipo japo hazishindi faida ila kiukweli kwa hili "bunge la jiwe" sitarajii kama wataijadili hii hoja na hata siku moja achilia mbali kupitishwa
Diaspora wa kitanzania aliopo Nje kama ana nia kweli ya kuwekeza hapa Tanzania sidhani swala la uraia pacha ni kikwazo.