Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Unacheka wakati siyee tuna mashaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacheka wakati siyee tuna mashaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani na nyie ni mijitu!Unacheka wakati siyee tuna mashaka
Acha chokochoko mwenyekiti kwetu ni mtukufu haitakiw awe na mpinzani ndo maan sisi uvccm hua tunasubiri mwenyekiti akisema jambo ndio tunasapoti!! Akili zetu hazina kaz zaid ya kusapoti kila kitu, hata ikitokea kajinyea sisi tutasapoti na kuimba mapambio ya.. mmmmh unanukia vzr 🎶🎶🎶🎶Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
Check and balance?Hilo la kofia ya Mwenyekiti na Raisi vikitenganishwa then kutakuwa na political stability. Maana sio CCM wote wanakubaliana na fikra za mwenyekiti ambaye ndiye Commander in Chief.
Uongezewe maarifa.Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
DuuuuuAcha chokochoko mwenyekiti kwetu ni mtukufu haitakiw awe na mpinzani ndo maan sisi uvccm hua tunasubiri mwenyekiti akisema jambo ndio tunasapoti!! Akili zetu hazina kaz zaid ya kusapoti kila, hata ikitokea kajinyea sisi tutasapoti na kuimba mapambio ya.. mmmmh unanukia vzr [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Lugha inaumba [emoji2] [emoji4] [emoji3]Kwani na nyie ni mijitu!
Anawatafuta uccmUongezewe maarifa.
😂😂😂😂😂😂Lugha inaumba [emoji2] [emoji4] [emoji3]
Naunga mkono hoja yake.Anawatafuta uccm
Umekuwa ni utamaduni wa CCM kuzuia wengine kugombea hadi aliyekuwepo amalize awamu mbili wakati hilo halipo kwenye Katiba ya CCM. Pia kama aliyekuwepo tunaona kabisa atatadababisha CCM kukosa kura za kutosha kwanini wasiachane na utamaduni huo. Ni ushauri wangu tu, ila wakishupaza shingo inaeezekana huko mbele kuiba kura ikashindikana kabisa ni bora CCM iwe na Mgombea mwenye mvuto kwa wapiga kura.Kwani lini ulikatazwa?
Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
Wewe utakuwa ni mhutuMbona ndio hufanya hivo
Chadema tuambieni mwenyekiti wa chama lini kagombea?
Mwisho may be itakuwa 2045 maana hawa jamaa siwaoni ivi karibuni wakiachia madarakaWanaunganaga sana maana wanajua msiba utaingia mjengoni na wote ni wahanga. Ila theres no way lazma jambo hilo lifikie mwisho.
Bila utata hawaachii nchi. Hili nilishalisema a million times. Lazma kiwake V8 zigome kwenda ndio tutaelewana. Tukio likionekana BBC huko kwamba raia wameleta utata ndio kitaeleweka.Mwisho may be itakuwa 2045 maana hawa jamaa siwaoni ivi karibuni wakiachia madaraka